Mbu JF-Expert Member Jan 11, 2007 12,753 7,844 Apr 24, 2011 #21 ...mfereji maringo! walikusudia nini? Halafu Pemba kuna pahala panaitwa DOLE!
LE GAGNANT JF-Expert Member Jan 20, 2011 1,241 251 Apr 24, 2011 #23 the boss said: makunduchi.. Mnembe Click to expand... KUNDUCHI ya darisalama mmesahau?
Pharaoh JF-Expert Member Mar 18, 2011 843 157 Apr 24, 2011 #24 msikiti wa madole.. lakini hii inamaanisha kuwa hawa jamaa ni waafrika wasafi, sema kwa sasa kuna wachache wanajisifia asilia ya utumwa.
msikiti wa madole.. lakini hii inamaanisha kuwa hawa jamaa ni waafrika wasafi, sema kwa sasa kuna wachache wanajisifia asilia ya utumwa.
N Ninaweza JF-Expert Member Dec 14, 2010 12,023 6,774 Apr 24, 2011 #25 Viper said: Nini Wazenji!! je kule kumamoto japani "mod sijatukana ni jina la mji huu" ushahidi huu Kumamoto, Kumamoto - Wikipedia, the free encyclopedia Click to expand... Taka-uchi nayo msiisahau mkuu!
Viper said: Nini Wazenji!! je kule kumamoto japani "mod sijatukana ni jina la mji huu" ushahidi huu Kumamoto, Kumamoto - Wikipedia, the free encyclopedia Click to expand... Taka-uchi nayo msiisahau mkuu!
Raia Fulani JF-Expert Member Mar 12, 2009 10,877 2,754 Apr 25, 2011 Thread starter #27 Mh! Haya yapo kweli?
Inkoskaz JF-Expert Member Nov 6, 2010 6,372 2,374 Apr 25, 2011 #28 pemba kuna.... chupa ya soda, maskini hajengi, chake