Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,876
- 2,744
Ukiwa unaongea na mtu wa heshima toka bara kuwa umetembelea maeneo mengi zenj inabidi uwe makini na matamshi yake. Utasikia jambiani, bububu, mcha.. Wima... Endeleza
Mwembebasha
Ukiwa unaongea na mtu wa heshima toka bara kuwa umetembelea maeneo mengi zenj inabidi uwe makini na matamshi yake. Utasikia jambiani, bububu, mcha.. Wima... Endeleza
mh! Bado hujanikamata masikio. Yani treni ndo inalia 'bububu?'Uliza kwanin walitumia hayo majina..kama sijakosea au kama nimekosea basi ruhusa kunirekebisha..ni majina yaliyotumika zamani enzi za biashara ya utumwa...Bububu imetokana na kelele za honi ya treni...kwani hapo mahali wanaita bububu ni mwisho treni. nitarudi kwa maelezo zaidi ya sehemu zilizatajwa..ngoja nipate :A S-coffee:
Nini Wazenji!! je kule kumamoto japani "mod sijatukana ni jina la mji huu" ushahidi huu
Kumamoto, Kumamoto - Wikipedia, the free encyclopedia
Nini Wazenji!! je kule kumamoto japani "mod sijatukana ni jina la mji huu" ushahidi huu
Kumamoto, Kumamoto - Wikipedia, the free encyclopedia
dah! Mkuu umejitetea hadi baas