Fisherscom
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 1,763
- 764
Anastahili aibu hiyo. Tatizo viongozi wetu kulewa madaraka na kujiona kuwa wataendelea kuwepo kwenye nyadhifa zao milele. Nadhani ni fundisho kwa wengine wenye mawazo kama hayo.
Mwache mzee akapumzika.Leo nilikuwa nafuatilia News kutoka Gazeti letu THE CITIZEN.. nikaona picha kuuubwa ya muheshimiwa sana John Malecela. na kuona maandishi makubwa yakiandika MALECELA'S FALL: WHT IT MEANS.. " it could be an indication that people are tired, not only with old faces, but also CCM as a Party'
nikaendelea kutafuta Informations nikaona kwenye Blog moja inasema "Mkongwe wa siasa Tanzania na mbunge wa zaidi ya miaka 35 John Malecela amebwagwa katika Jimbo la Mtera na Kijana mdogo ambaye anaweza kuwa ni kama mtoto wake.
Sasa hii siaibu hii?
Silver
Mwache mzee akapumzika.
Amelitumika taifa lake kwa heshima zote na sasa mwaache apumzike na sio wa kumcheka.
Sijui kwanini watu wanadhani kuwa kutopata kura za kutosha kwenye uchaguzi wa kura za maoni ni kushindwa uchaguzi katika jimbo lake.
Bado anayo nafasi ya kuteuliwa kutetea kiti chake. Anaweza kupendekezwa kuwa mgombea wa Jimbo hilo na chama chake, na mshindi wa kura za maoni akawekwa pembeni.
Si imewahi kutokea?
Lenyewe linatengezeza barabara lakini haizipiti hizo barabara ilizozitengeneza ,yanapita magariiikama kijana Lusindeeetingatinga huwaa haliumiii ndo tatizooo..
Leo nilikuwa nafuatilia News kutoka Gazeti letu THE CITIZEN.. nikaona picha kuuubwa ya muheshimiwa sana John Malecela. na kuona maandishi makubwa yakiandika MALECELA'S FALL: WHT IT MEANS.. " it could be an indication that people are tired, not only with old faces, but also CCM as a Party'
nikaendelea kutafuta Informations nikaona kwenye Blog moja inasema "Mkongwe wa siasa Tanzania na mbunge wa zaidi ya miaka 35 John Malecela amebwagwa katika Jimbo la Mtera na Kijana mdogo ambaye anaweza kuwa ni kama mtoto wake.
Sasa hii siaibu hii?
Silver
Sijui kwanini watu wanadhani kuwa kutopata kura za kutosha kwenye uchaguzi wa kura za maoni ni kushindwa uchaguzi katika jimbo lake.
Bado anayo nafasi ya kuteuliwa kutetea kiti chake. Anaweza kupendekezwa kuwa mgombea wa Jimbo hilo na chama chake, na mshindi wa kura za maoni akawekwa pembeni.
Si imewahi kutokea?
What message CCM would be sending? I don't think they would opt for such a catastrophic decision on our young demecracy. Maana kutakuwa hakuna umuhimu wa kuwahi kuamka ili ukapige kuraSijui kwanini watu wanadhani kuwa kutopata kura za kutosha kwenye uchaguzi wa kura za maoni ni kushindwa uchaguzi katika jimbo lake.
Bado anayo nafasi ya kuteuliwa kutetea kiti chake. Anaweza kupendekezwa kuwa mgombea wa Jimbo hilo na chama chake, na mshindi wa kura za maoni akawekwa pembeni.
Si imewahi kutokea?