Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 863
- Thread starter
- #21
So what kama wazee wa vyama vyote hivi including CCM yenyewe wanamuunga mkono Lameck then it is obvoius kwamba jamaa anakubalika.We shida yako ni kwani?mbona unatfutafata sana.Ulishachemsha CHADEMA then fanya mambo mengine..Unajipa presha bureeee,kupambna na chama kubwa kama CHADEMA,utawezaaaaaaa.Wazee hao waliokuwa wakizungumza na waandishi wa habari katika baa maarufu ya Kibarua eneo la Uhindini mjini Dodoma walijitambulisha kuwa wanachama wa CCM, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Chama cha Wananchi (CUF) na Tanzania Labour Party (TLP) walisema Malecela ambaye amekuwa bungeni kwa miaka 35 sasa amechoka kiakili na kimbinu.
Wazee hao walikwenda mbali na kumuomba mmoja wa makada wa CHADEMA anayejulikana kwa jina la John Lameck kujitokeza na kugombea nafasi hiyo.
Kwa mujibu wa wazee hao walioonekana wakiwa na ajenda ya kumuunga mkono Lameck ambaye ni mtu mwenye msimamo tofauti na viongozi wengine ambao wamekuwa wakiyumbishwa kwa tamaa zao na kujikuta wanawasaliti waliowaweka madarakani na kuwafanya kuwa maskini wa kutupwa.
My take:
Ni wazi kuwa hawa ni wazee wanaomuunga mkono/kumfanyia kampeni Mr. Lameck wa CHADEMA; wanamsimamo dhabiti katika hilo au waliwezeshwa tu-ukizingatia ni bar na baada ya kuongea na waandishi wa habari walijipongeza kwa kinywaji?wataendelea kumuunga mkono mpaka wakati wa uchaguzi?wanaushawishi gani kwa wana mtera?...time will tell, but dont be too quick to trust.