...natamani iendelee kuwepo ila si madarakani.
msihofu wapendwa , hakuna ccm bila serikali////dola/////where is kanu,,kile cha zambia,malawi,uganda,ghana,,mifano ni mingi nao wanalijua hilo huoni siasa za kuchinjana huko arumeru ,kukatana mapanga mwanza,,nk,,,,ni kukataa kunyanganywa dola,,,,wanaijua historia,,,,,sisiemu ife,tena ife kabisaaa! upinzani utaletwa na vyama vingine ambavyo havijanajisiwa bado.Ni upinzani gani imara kutoka kwa sisiemu? Upinzani wakutaka uingie tena madarakani ili uibe? Sisiemu ichukuliwe na israeli haraka,tena hata kabla ya 2015.
Juzi katika wilaya ya Misenyi kwenye kikao kilichoitwa cha vijana wa ccm ingawa vijana walikisusia, Nape alitapatapa kuelezea wanachama wa ccm wanaokihama chama hicho, lakini mwishowe alisema "hata wakihama wote nikabaki peke yangu ccm haitakufa".
Hii inamaanisha nini? abaki peke yake bado ccm itakuwa hai, ama ndio matamshi ya kuchanganyikiwa?