kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,341
- 12,045
sasa ulitaka aseme nini kwamba abaki na wewe@#$%&*( huna nyimbo kaa kimya mwache mheshiwa wetu Nape aseme anavyotaka wala usimfuate fuate
Mheshimiwa wako!!!
sasa ulitaka aseme nini kwamba abaki na wewe@#$%&*( huna nyimbo kaa kimya mwache mheshiwa wetu Nape aseme anavyotaka wala usimfuate fuate
Wataanza na moja kama alivyooanza Mwl Nyerere.Ndugu wana mageuzi, kama tunaweza kutabiri majira ya mwaka kwa nini tunashindwa kutabiri alama za nyakati hizi? Wandugu habari zilizopo ni kwamba vigogo wa CCM akiwemo mtoto wa head boy wameanza kutorosha fedha na sasa hawapeleki tena USWISI maana kule kimeshanuka, sasa wanapeleka LONDON. Mtoto huyo alipohojiwa alisema kwamba upepo haueleweki na kwamba chochote kinaweza kutokea CDM wakachukua nchi kwa hiyo bora aanze kujiwekea hazina nje mapema. WANDUGU MPO HAPO? HAWA JAMAA WANAKIRI WENYEWE KWAMBA HALI SI SHWARI, IKULU NI NDOTO KWAO, LAKINI MBONA WANATUIBIA NA KUFICHA HELA NJE? HIVI HATA KAMA WATAKUJA WATAWALA WENGINE WATAENDESHAJE NCHI? HEBU TUCHANGIE HILI
sisi tunachoomba ni nchi yetu tu..wakitaka hata kuzipeleka hizo hela mbinguni ni ruksa kwa wao kufanya hivyo mradi tu 2015 waondoka tuanze kuijenga hii nchi upya
Hizi ni siasa za kuchafuana tu. Tunafika mbali. Angalieni wenzenu hatuna nchi ya kukimbilia, Mnatuchafulia nchi, wenzetu mnakimbilia nje, sisi tunabaki tunamalizana. Kuweni na Roho wa Mungu.
jukwaa la.mapenzi hili peleka siasani