Yaani unaota mchana tena ukiwa macho, hivi chama cha kuanguka ni chama cha wananchi wote(CCM), au chama cha kanda moja tu(CDM)?.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
source iko wap kaka,au udaku?
Yaani unaota mchana tena ukiwa macho, hivi chama cha kuanguka ni chama cha wananchi wote(CCM), au chama cha kanda moja tu(CDM)?.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
yaani unaota mchana tena ukiwa macho, hivi chama cha kuanguka ni chama cha wananchi wote(ccm), au chama cha kanda moja tu(cdm)?.
.
"wasiosoma ni chakula cha wasomi".
source iko wap kaka,au udaku?
Yaani unaota mchana tena ukiwa macho, hivi chama cha kuanguka ni chama cha wananchi wote(CCM), au chama cha kanda moja tu(CDM)?.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Mimi nataka CCM iangamie kabisa kwa sababu imeleta umaskini.
hilo li ccm limeishaoza linakufa muda si mrefu na wala ccm haitakuwa chama pinzani - itakufa na kusaaulika.ama kweli maandiko matakatifu hutuambia laana hukaa hata kizazi cha nne, hii imetokea wakati tukiwa awamu ya kwanza na miaka miwili tangu kuzaliwa kwa ccm. Idd amin dada alipoichoma bendera ya ccm na kuwa mtu wa kwanza kufanya hvo na cjui kwa nini aliacha bendera ya taifa na kuishughulikia ya ccm. Tokea hapo ccm imepita ktk wakati mgumu wa kukataliwa hata na baba wa taifa akasema ccm si baba wala mama yake pia kolimba achilia mbali wazee na wananchi wa awamu hii ya nne. Naona yote haya ni laana ya nduli kuchoma bendera ya ccm. Jamani tuiokoeje ccm isife au tubadili hii bendera iliyotiwa unajisi na amin dada. Hii yote ni ili 20i5 wawe wapinzani imara wenye maono hai. Tuwashauri tusiwaache wafe kabisa watani wetu hawa