MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,004
Nakubaliana na wewe Mkuu kwa hii observation ambayo ni critical.
Lakini, mie najiuliza kila siku, hivi CCM yenyewe haijioni kuwa inachungulia kaburi?
Maana imeanza kukosa sifa za kuwa chama kinachomilikiwa na wananchi wenyewe na kwa ajili yao.
Mkuu,
Siku zote kichaa akitembea hata akiwa uchi yeye huona yupo sawa tu, na huwashangaa wote wanaomshangaa.
Usishangae pro ccm wanapinga kwa sauti zao zoote!
Vijisenti vimewapofusha macho kabisa.