Pundamilia07
JF-Expert Member
- Oct 29, 2007
- 1,439
- 53
Nakubaliana na wewe 100%, huyo pundamilia ana mambo yake kwani tangu jana watu wamemweleza ukweli kuwa bila Mengi and IPPmedia ( Kulikoni & Thisday hat hii hoya hapa hatungekuwa nayo kwani haingekuwepo kabisa, maana swala la mafisadi tumelijua baada ya vyombo vya habari vya IPP kueleza huku vyombo vi ngingine vya mafisadi vilivyonunuliwa vikiwa vinasita kusema, So if you Pundamilia or ngamia you don't understand this, Automatically we will put you into the same group of beneficiaries of Mafisadi!! unless you clear your selfl here at JF.
Mpendanchi na DarkCity,
Hapa jamvini mimi siangalii sura ya mtu wala kusikiliza jina la mtu, ninachozingatia ni hoja yenye nguvu. Kwahiyo mnaponirejea kuwa mimi sielewi mnaniacha hoi kana kwamba kwamba hapa kuna muda maalum wa kujadili hoja na pia ni lazima nielewe hata kama nina mawazo tofauti na wachangiaji wengine. I have my own msimamo na nimeulezea na kutoa sababu ni kwani nini nina msimamo huo. Mimi wakati wote huu wa majadiliano nina heshimu hoja zote za wale ambao ni tofauti na mimi kwani ndiyo zinazonisaidia pia kunifanya nione tofauti hizo.
Inapotoka hoja, basi nitaiangalia kama nina hoja mbadala nitaijibu kama sina nitanyamaza, na hii ndiyo ninafanya wakati wote hapa jamvini.
Please msinichukie au kuniona mtu mbaya ati kwa sababu tu siungi mkono hoja zenu au mkaniona ninatetea mafisadi, la hasha, rejea postings zangu hapo juu nimeeleza msimamo wangu ni upi. Kutofautiana nanti haina maana nina mtetea mtu au watu, hiyo si kazi yangu na wala si kazi ya JF.
Na mara nyingi kama ninaona hakuna haja ya kujibu huwa ninakuwa msomaji tu, nina vigezo ambavyo ninavitumia kuangalia nijibu thread/posting ya mtu. Postings zingine zinakuwa chini ya kiwango kwa hiyo sihitaji kuzijibu nina kula kobis