Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,695
- 2,553
Mtoa hoja ndio kachanganya na title yake ya kiunazi, wazee wamemchalukia Mengi. Wazee wamesema taratibu za kisheria zifuatwe kwa sababu nchi hii inaongozwa kwa mujibu wa sheria kama Manji anamakosa basi Mengi akamfungulie mashtaka kwenye vyombo husika.
Kuwatukana wazee wa watu kwa sababu ya kumbeba Mengi sio poa na ni lazima watu wawe na mawazo tofauti na yenu. Mengi kachemka kama anavyochemka mara nyingine, media yake anaitumia vibaya na victims ni wengi tu.
Vita ya ufisadi, Kabila na dini sio sababu ya kumfanya awe na haki kuliko raia wengine. Hata Mengi anatumia njaa za watanzania kuwarubuni pia, wahariri wa IPP media wasingekuwa na njaa wasingetumia airtime na space kumpamba kila kukicha. Kesho mtamsikia anatishiwa kuuawa acheni kulazimisha watu wengine waamini mnachoamini nyie.
Kuwatukana wazee wa watu kwa sababu ya kumbeba Mengi sio poa na ni lazima watu wawe na mawazo tofauti na yenu. Mengi kachemka kama anavyochemka mara nyingine, media yake anaitumia vibaya na victims ni wengi tu.
Vita ya ufisadi, Kabila na dini sio sababu ya kumfanya awe na haki kuliko raia wengine. Hata Mengi anatumia njaa za watanzania kuwarubuni pia, wahariri wa IPP media wasingekuwa na njaa wasingetumia airtime na space kumpamba kila kukicha. Kesho mtamsikia anatishiwa kuuawa acheni kulazimisha watu wengine waamini mnachoamini nyie.