Wazee wa Yanga wanamtetea Manji!

Mtoa hoja ndio kachanganya na title yake ya kiunazi, wazee wamemchalukia Mengi. Wazee wamesema taratibu za kisheria zifuatwe kwa sababu nchi hii inaongozwa kwa mujibu wa sheria kama Manji anamakosa basi Mengi akamfungulie mashtaka kwenye vyombo husika.

Kuwatukana wazee wa watu kwa sababu ya kumbeba Mengi sio poa na ni lazima watu wawe na mawazo tofauti na yenu. Mengi kachemka kama anavyochemka mara nyingine, media yake anaitumia vibaya na victims ni wengi tu.

Vita ya ufisadi, Kabila na dini sio sababu ya kumfanya awe na haki kuliko raia wengine. Hata Mengi anatumia njaa za watanzania kuwarubuni pia, wahariri wa IPP media wasingekuwa na njaa wasingetumia airtime na space kumpamba kila kukicha. Kesho mtamsikia anatishiwa kuuawa acheni kulazimisha watu wengine waamini mnachoamini nyie.
 
Jamani kwa wadau mnaokumbuka Mengi alivyoitafuna NBC miaka ya 80 (kama inavyosemwa na baadhi ya watu" tunaomba tuelezwe ilikuaje wengine hatufahamu kilichojiri kwenye sakata hilo. Plz kama kuna mwenye data amwage tunazisubiri ili tuweze kupima usafi wa bw. Mengi!
 
Nawasikitikia saana watanzania wenzangu!mnakaribisha ukabila kwa nguvu..... Mnakuja katika udini kwa nguvuuuu zaidi mungu atunusuru na awanusuru pia akili na mawazo potofu mlioanza kuwa nayo.
Wazee wetu wametoa tamko la busara kuwa mbaguzi mengi hana haki ya kumhukumu yeyote bali aweche utawala wa sheria ufanye kazi utatamkaje masuala ya jeetu patel ili hali tayari yupo chini ya uangalizi wa dola? Yeye analo la kujibu katika kesi yake ya nbc? Kiwanja alichouzia kwa kampuni fulani...?ili hali aliomba serikali kwa ajili ya kujenga orphans? Kweli nyani haoni kundule nie mwacheni aendele ku-organizer tuzo za wanasiasa bora na kama alivyojitahidi kuifanikisha ya bi.kilango. Lakini asiwache kuandika katika this day kuhusu kiwanja cha milambo /samora lakini mhusika anajuwa nini mengi anataka na alichokikosa kwa rostam,manji,malima,masha na masilingi atakipata anachokitafuta muda si mrefu mnanishangaza mnaojifanya eti ni yanga mwana yanga hawezi kuwa mpumbavu siku zote wanajangwani ni watu wenye busara ndio maana tuna wazee wenye kila aina ya heshima na taahdhima
 
Hawa ni watumwa wa gredi ya chini wanaohongwa allowance, kahawa na kashata.

Wapo wale watumwa wa gredi ya juu wanaohongwa magari, nyumba, trip za majuu, nk. Hawa wanamadigrii, maPhD na wanashikilia ofisi za juu serikalini. Wakistaafu wengi wao wataishia kuwa kama hawa hawa watumwa wa gredi ya chini.
Kama kuna maneno mazito niliyowahi kuyasoma ni hayo ulosema mkulu.
Tupo pamoja.
 
Siwezi kukubaliana na wewe hata siku mmoja kwa hoja yako hii, Wale wazee kama siyo njaa zao na elimu duni hawangeweza kwenda kwenye vyombo vya habari kumtetea Manji. Kuna maswali mengi hapa:-
1. Nani kawatuma kwenda huko
2.Kwa nini awatume
3. Nani kalipia gharama za conference?
4. Je wanachama wamekaa na kukubaliana pesa zao zikatumike kwenye conerence? au manji kalipia gharama?
5. Kwa nini alipie?
6. Kwa nini wanamtetee na asijitetee mwenyewe?

Mengi alichofanya ni sahihii kabisa kikatiba, ana haki na wajibu wa kutoa mawazo yake , Hivyo mwenye kuona mawazo yake yanamwumiza naye ana wajibu wa kulalamika kwenye vyombo husika. Hivyo siyo Mengi ndiye aende kulalamika mahakamani hapani, Manji ndiye aende.

Hapa tutapoteza muda wetu sana kujadili kitu ambacho jibu lake linajulikana Umasikini wa wazee wa yanga, na Ukosefu wa Elimu hata ya kufikiri tu. Ndiyo maana hao wazee hushinda mabarazani wakijadiri mambo ya ovyo abdala ya kutafuta pesa, Pita pale Yanga sasa hivi utakuta wamelala kwenye mikeka tangu subuhi hadi jioni!!!!! What next kama siyo omba omba!!!!!

Mkendanchi,
Huwa ninakawaida nikiona posting iliyo chini ya kiwango inanijibu huwa siipatilizi kabisa. Lakini vilevile huwa ninangalia pia kama mtu anayejibu huenda anahitaji kuelimishwa au kukumbushwa masuala muhimu.
Sitakujibu maswali yako 1 hadi 6, kwani ni kuingilia huru wa klabu ya Yanga ambao sote inabidi tuuheshimu kwa kuzingatia Yanga ni taasisi kubwa kongwe ambayo imekuwepo na kupata mafanikio mengi kupitia kwenye busara za wazee wake ambao wewe unawaona si kitu mbele ya macho yako.

Ninachotaka kufanya hapa ni kukukumbusha kuwa walichofanya wazee wa Yanga ni kutoa misimamo yao kama wazee wa klabu ya Yanga ambayo ina mahusiano ya moja kwa moja na Manji. Zaidi ya hapo wakaelekeza kama Mengi anajambo lolote lenye ushahidi basi afikishe kwenye mamlaka husika. Sasa Mpendanchi, kuongea maneno yenye busara kama haya unahitaji kuwa na PhD ya Havard au kuwa na shibe ya mapesa ya haramu?

Tuwaunge mkono wale wote wanaoelekeza mema, ninamaanisha wanaolekeza kufuatwa na kuzingatiwa sheria
 
Mzee Kenyata enzi zake aliwaita watu kama hawa wazee wa Yanga "malambaji ******". Wazee wa Yanga wameingia mtego kama CCM! Chama tawala kilipoanza kufadhiliwa na matajiri (na mafisadi wamo) ndio ukawa mwanzo wa kuwa "bubu" linapokuja swala la ufisadi. Tumeona juzi na jana jinsi Waziri Sophia Simba alivyokimbilia kuwatetea watruhumiwa wa ufisadi papa kana kwamba wao ni wanyonge hawana uwezo wa kujisemea! Jibu ni rahisi. Mama Simba alikuwa anarudisha fadhila kwa Tani Somaiya kwa kufadhili uchaguzi wa UV-CCM kwa kiasi cha Milioni 400 za Tanzania. Yanga isipoangalia itabandikwa timu ya "Fisadi Papa".
 
Pundamilia,
kuonesha kuwa wewe ndiye upo chini ya kiwango ndiyo maana huna majibu ya hayo maswali, kwani ungekuwa na kiwango ungetafakari kidogo ukipata majibu yake utajua tu hao wazee hawakwenda kwa niaba ya yanga wala siyo kwa masilahi ya yanga bali ni masilahi ya FISADI Manji
 
Nawasikitikia saana watanzania wenzangu!mnakaribisha ukabila kwa nguvu..... Mnakuja katika udini kwa nguvuuuu zaidi mungu atunusuru na awanusuru pia akili na mawazo potofu mlioanza kuwa nayo.
Wazee wetu wametoa tamko la busara kuwa mbaguzi mengi hana haki ya kumhukumu yeyote bali aweche utawala wa sheria ufanye kazi utatamkaje masuala ya jeetu patel ili hali tayari yupo chini ya uangalizi wa dola? Yeye analo la kujibu katika kesi yake ya nbc? Kiwanja alichouzia kwa kampuni fulani...?ili hali aliomba serikali kwa ajili ya kujenga orphans? Kweli nyani haoni kundule nie mwacheni aendele ku-organizer tuzo za wanasiasa bora na kama alivyojitahidi kuifanikisha ya bi.kilango. Lakini asiwache kuandika katika this day kuhusu kiwanja cha milambo /samora lakini mhusika anajuwa nini mengi anataka na alichokikosa kwa rostam,manji,malima,masha na masilingi atakipata anachokitafuta muda si mrefu mnanishangaza mnaojifanya eti ni yanga mwana yanga hawezi kuwa mpumbavu siku zote wanajangwani ni watu wenye busara ndio maana tuna wazee wenye kila aina ya heshima na taahdhima
Join Date: Sun Aug 2008
Posts: 57
Thanks: 0
Thanked 8 Times in 7 Posts
Rep Power: 21
Brooklyn; Jamani kwa wadau mnaokumbuka Mengi alivyoitafuna NBC miaka ya 80 (kama inavyosemwa na baadhi ya watu" tunaomba tuelezwe ilikuaje wengine hatufahamu kilichojiri kwenye sakata hilo. Plz kama kuna mwenye data amwage tunazisubiri ili tuweze kupima usafi wa bw. Mengi!
Join Date: Tue Mar 2009
Posts: 31
Thanks: 10
Thanked 17 Times in 12 Posts
Rep Power: 0
Songambele;
Mtoa hoja ndio kachanganya na title yake ya kiunazi, wazee wamemchalukia Mengi. Wazee wamesema taratibu za kisheria zifuatwe kwa sababu nchi hii inaongozwa kwa mujibu wa sheria kama Manji anamakosa basi Mengi akamfungulie mashtaka kwenye vyombo husika.

Kuwatukana wazee wa watu kwa sababu ya kumbeba Mengi sio poa na ni lazima watu wawe na mawazo tofauti na yenu. Mengi kachemka kama anavyochemka mara nyingine, media yake anaitumia vibaya na victims ni wengi tu.

Vita ya ufisadi, Kabila na dini sio sababu ya kumfanya awe na haki kuliko raia wengine. Hata Mengi anatumia njaa za watanzania kuwarubuni pia, wahariri wa IPP media wasingekuwa na njaa wasingetumia airtime na space kumpamba kila kukicha. Kesho mtamsikia anatishiwa kuuawa acheni kulazimisha watu wengine waamini mnachoamini nyie.
Join Date: Tue Nov 2007
Posts: 122
Thanks: 53
Thanked 56 Times in 37 Posts
Rep Power: 22


Mwaka huu kazi ipo kweli kweli. Sina hakika kama wote tunamjua na tunapambana na adui mmoja.
 
Pundamilia,
kuonesha kuwa wewe ndiye upo chini ya kiwango ndiyo maana huna majibu ya hayo maswali, kwani ungekuwa na kiwango ungetafakari kidogo ukipata majibu yake utajua tu hao wazee hawakwenda kwa niaba ya yanga wala siyo kwa masilahi ya yanga bali ni masilahi ya FISADI Manji

Bado ninaamini kuwa wewe unahitaji kuelimishwa tu.

Kwanza, kwangu mimi kuweka posting ya mtu chini ya kiwango haimaanishi hiyo posting ipo chini ya kiwango kwa mtu mwingine. Kuweza kuiweka katika kiwango cha chini inategemea na vigezo vyangu ninavyovitumia na wala haviwezi kuwa sawa na vya mtu mwingine.

Pili, si kila posting utakayokuwa umeiweka hapa basi ni bora kwa kila mtu, la hasha, kwani kila mtu ana uwezo wake wa ku-make judgement kwa vile anavyosoma.

Tatu, ni kweli na ninarudia kuwa sina majibu ya maswali yako kwani maswali yale yanajibiwa na mamlaka husika za wanayanga na siyo mtu yeyote. Ninakushauri maswali yako yaelekeze kwa viongozi na wazee wa Yanga, kwa kukusaidia, kama wewe ni mwanachama wa Yanga, basi kuna taratibu unaweza kuzifuata kwa mujibu wa katiba ya Yanga.
Labda mwisho nikuulize swali la kizushi, unapoita press conference kuna gharama gani unazotakiwa kuingia?
 
Hawa ni watumwa wa gredi ya chini wanaohongwa allowance, kahawa na kashata.

Wapo wale watumwa wa gredi ya juu wanaohongwa magari, nyumba, trip za majuu, nk. Hawa wanamadigrii, maPhD na wanashikilia ofisi za juu serikalini. Wakistaafu wengi wao wataishia kuwa kama hawa hawa watumwa wa gredi ya chini.
Uliwaona Ze komedi week iliyopita wao wako grade gani? Wale wazee njaa hasa Mzimba alipika kalele weeeeeeeeee.....akaja akapewa trip ya kuzunguka nchini na viposho kimya ataongea akiwa na shida anaenda kuvua mshiko teh teh...hapa wanataka swala la Ufisadi lipelekwe kwenye U-simba na U-Yanga.
 
Hii nchi bora tuchapane kidogo nadhani heshima itarejea. Upuuzi umezidi kila kona.
 
Heheheeh count me out.....misaada hii wakati mingine ni mitego!


Masa,

Una bahati kwamba wewe unayaona hayo! Watu wengi wameingia mkenge na jinsi mambo yanavyokwenda tutaanza mchakato wa kuwatangaza watakatifu Manji, RA na mafisadi wenzao wakingali hapa bongo! Watampiku hata Nyerere kwani kila mtu sasa anaimba usafi wao. Naomba basi mimi niitwe fisadi ili hawa jamaa waachwe kuitwa mapapa!
 
Matukio katika vilabu vikubwa Simba na Yanga nadhani yanajieleza, kwa hiyo hatuhitaji sana kuumiza kichwa kuhusu hao wazee. Mchana kutwa huwa wanakaa kwenye vijiwe vya kahawa kujadili mambo yasiyo na maana, na jioni ni lazima ajaribu kutafuta sehemu ya kuchonganisha ili apate cha kurudi nacho nyumbani, ndio maana utaona migogoro haiishi.Manji kawashika hao wazee na akafanikiwa kumaliza mgogoro wa lile tabaka la Mzimba kwa kuwapa fedha na pilau, and that's all matters to them. Kwa hiyo watatetea chochote kile asemacho Manji kwa kuwa ndio wanaishi kwa staili hiyo. Haieleweki timu kama Yanga na Simba zinaendelea kuendeshwa kwa mtindo wa kizamani wa kutembeza bakuli wakati wanahazina ya mashabiki nchi nzima. Mabadiliko yoyote hayawezi kuwafurahisha hao wazee, bahati mbaya hata vijana nao huwa wamo katika hilo. Tunachoweza kwa sasa ni kuwapuuza na kupambana na huu ufisadi mpaka mwisho. Manji siyo mjinga wa kutoa fedha tu, alitegemea siku itafika support itakapohitajika, na wazee hawakumwangusha. What a shame!!!
 
Mkuu Fidel
Mimi nadhani sehemu kubwa ya wachangiaji wanapofikia kujadili hoja fulani hawaangalii substance ya hoja zilizofikishwa kwao.

Kama watasoma au kusikiliza kwa kwa makini hawa wazee wanaowaponda hapa ni kwamba waliamua kutoa taarifa yao hiyo baada ya kutafakari kuwa utaratibu na sheria hazikungatiwa na Mengi wakati anafanya press conference yake. Kwa maana ya kuwa hakutowa ushahidi na vielelezo juu ya tuhuma zake. Na kikubwa kabisa ambacho wazee wale wa Yanga (ambao wengine wanawaita hawakusoma) wameonesha busara yao hata ya kuonesha nini Mengi angefanya, yaani kufikisha ushahidi na vielelezo vyake katika vyombo husika. Sasa kwa wale ambao wanataka kuwa hukumu hawa wazee kwa kueleza misimamo yao kama klabu wanakosea kwani klabu ya Yanga ina mahusiano na Manji kama mfadhili wao.
Nadhani ni vema tukaagalia uzito wa hoja ya wazee na sio kuwakashifu kwa maneno ya kejeli, hatujengi na hatuwatendei haki.
Wazee hawa ,kama Mengi, wamejiingiza kwenye mainstream politics ambazo zinagusa hisia za Taifa zima.
Mtu anayekuibia ,tahadhari ukipewa ni jambo muhimu sana.
Hata Mwalimu wakati fulani, wakati wa ukombozi wa Rhodesia (Zimbabwe) na Afrika Kusini aliwahi kusema hawa wakubwa (Marekani na Uingereza)hatuwawezi kwa kuwapeleka mahakamani au kwa kuwazuia, kilichobaki ni kuwazomea na kuwapigia kelele.
Kelele za maskini ni muhimu sana katika siasa.
Africa Association (baadaye Yanga iliasisiwa nayo)ya wakati huo walifanya hivyo ikiwa ni pamoja na kuwahasasisha umma juu ya uhuru wa Tanganyika.
Leo Mengi alichokifanya ni hivyo hivyo. Watanzania tunaibiwa na watu walio na ubia na wanasiasa leo unataka ushahidi.Utaupata wapi?
Kinachotushangaza wengi ni hawa wazee kukosahekima ya kuienzi Yanga kama klabu yenye historia nzito nchini
 
wazee wa yanga waliongea na vyombo vya habari jana na kumshambulia mengi kuwa aache kumkashifu mfadhili wao bwana yusuph manji. Walisema mambo mengi sana ila kubwa ni kuwa mengi aachane na manji kwa kile ambacho wanajaribu kuonesha kuwa mengi anamwonea wivu. Kwamba amwache kabisa mfadhili wa yanga. Je, wanaelewa kinachoendelea au wanajali vijisenti wanavyoimbiwa na baadaye kupewa kupitia mlango wa nyuma kwa kivuli cha ufadhili? Je wanauchukia ufisadi au kwao nchi kuibiwa si neno ili mradi wamepewa pilau na biriani?
sasa hii inahusianaje na mpira maana hizi njaa zitatuua
 
Kweli hii nchi sasa haina mwenyewe ni mahame...upo wapi mwalimu weee
 
Back
Top Bottom