Safari njema mkuu,Bado napambana na foleni za Dar
Safari rasmi itaanza utakapoivuka bunju......Bado napambana na foleni za Dar
Nipo mwenge kuja uelekeo huo,barabara imechafuka kwa foleni au bado??Safari huwa naanzia Total Bagamoyo.
Hawa wezi wanarudisha sana nyuma.
Ukikamata unachoma mishkaki wale, au unayofoa kiungo kimoja bado kimoja huku akiwa hai.. shenzi sana weziingawa sipendi violence ila wakikamatwa wakapigwa roho ya huruma inakosa nguvu.
Kwa huko foleni ni given,mi nimeopt kupitia mwenge lugalo na sasa ndani ya dk kumi nakimbilia africana,kwa huko ukishapita round about ya malingo huwa nakaa katikati mpaka round about ya shabaha,ila kwa hadhi na ukubwa wa hilo gari tembea tuu mdogomdogo na hiyo queueNiko njia ya chini maeneo ya kawe Kwa mwinyi now
Watu wa Mwenge ni bata tu, nimetoka hapa vuup tayari gheto no foleni wala niniKwa huko foleni ni given,mi nimeopt kupitia mwenge lugalo na sasa ndani ya dk kumi nakimbilia africana,kwa huko ukishapita round about ya malingo huwa nakaa katikati mpaka round about ya shabaha,ila kwa hadhi na ukubwa wa hilo gari tembea tuu mdogomdogo na hiyo queue
Leo barabara ipo vyema,nipo mjengoni muda huu nikipoza rejeta,ila wakati nakata kushoto kuingia kitaa niliona foleni ya tegeta imeanzia hapa skanskaNiko njia ya chini maeneo ya kawe Kwa mwinyi now
wewe kama mm kabisa. kama naelekea zangu moshi arusha nikitoka dar safari naianzia pale shell TOTAL .Kama unatoka Dar; ukitoka round about bagamoyo ipo upande wa kushoto. Ile shell imesimama kinoma. najaza cha mwarabu pale naanza safari nikifika njia panda pale napaki napiga beer mbili naanza kutafuta wami. sina haraka.Safari huwa naanzia Total Bagamoyo.
Dah... wezi bhanamkuu hofu yangu ni kwene reliability na je inahitaji ile extra care au unaeza kuburuza kama toyota?
Maana nataka kuchange from toyota baada ya wezi kunitenda taa, side mirror, power window, dashboard, control box etc
View attachment 1873884
Unawezaje kuonja na kuendesha?wewe kama mm kabisa. kama naelekea zangu moshi arusha nikitoka dar safari naianzia pale shell TOTAL .Kama unatoka Dar; ukitoka round about bagamoyo ipo upande wa kushoto. Ile shell imesimama kinoma. najaza cha mwarabu pale naanza safari nikifika njia panda pale napaki napiga beer mbili naanza kutafuta wami. sina haraka.
Safari njema sanaBagamoyo moja...safari inaanza sasa, next stop Msata.
Nishaanza darasa la manual
Kasie atakuwa ananipa online classes.
Auto tunawaachia nyie wakishua walaini laini 🤣🤣
Hata manzese watu wanagongwa.Mtagonga wapita njia nyinyi! Kuna sista mmoja namfahamu mume wake kagongwa hapo wiki kama mbili zilizopita! Ilikuwa usiku