Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Jumapili njema
IMG_20210926_095253.jpg


Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Zamani kulikua na watoto wa mama Salma vyuo vingiii. Vipi siku hizi hamna watoto wa mama Samia? Unakula wazuuri lakin Wana Moto.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Duh

Umenikumbusha asee kipindi hiyo nauza barakoa za kike na pambaja zake

Goli langu lilikuwa mkabala na mlango wa kuingia uwanja wa chuo cha ushirika

Jirani na mimi alikuwa fundi viatu, mbele kule biashara ya vyakula

Hakika wale watoto walikuwa balaa, uvaaji wao na hata darasani walikuwa vizuri

Sina hakika mtaa wangu hapo Longuo ulisalimika kiasi gani
 
Duh

Umenikumbusha asee kipindi hiyo nauza barakoa za kike na pambaja zake

Goli langu lilikuwa mkabala na mlango wa kuingia uwanja wa chuo cha ushirika

Jirani na mimi alikuwa fundi viatu, mbele kule biashara ya vyakula

Hakika wale watoto walikuwa balaa, uvaaji wao na hata darasani walikuwa vizuri

Sina hakika mtaa wangu hapo Longuo ulisalimika kiasi gani
Sina Shaka wali kukoma...hivyo vitu ulivyo Kua unauza ndio vilikua vinapendwa na hao watoto

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom