RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,764
- 107,976
- Thread starter
- #4,321
Hizi taa hazifai kabisa. Kuna kipindi walikuwa wanakamata magari yenye hizi taa sijui operation imeishia wapi?Halafu wabongo wengi hawafahamu matumizi ya hizi led bulbs kwa ajili ya high beams. Wengi wanatumia bulbs ambazo siyo public road-legal. Matokeo yake ndiyo hayo ya kuumiza macho madereva wengine na hata kusababisha ajali.