Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,219
- 36,212
Bongo hii hiiView attachment 1678852
Nilikuona, wakati mnapiga picha mie nilipita na mwendo wa kangaroo.
Bongo hii hiiView attachment 1678852
Uck mwem mdaaa wa kulal ntajibu kesho
Hhhhhh kasie unajua hauk seriously kabisa yaan nimpe banana bataringanya na yule wa naomba nipat alau nafs veepMajibu utampa Baba Bataringaya aniletee nitakapokuwa.
Hhhhhh kasie unajua hauk seriously kabisa yaan nimpe banana bataringanya na yule wa naomba nipat alau nafs veep
Hauk ni wish sio mpka tukumbushe matukio ya nyuma ndio ujiteteee Koo taraka tayarHappy New Year.
Hauk ni wish sio mpka tukumbushe matukio ya nyuma ndio ujiteteee Koo taraka tayar
Ndioo nimekimbia daaah mzima lakin baba bataringanya wako huyocc: Baba Bataringaya
cc: Baba BataringayaNdioo nimekimbia daaah mzima lakin baba bataringanya wako huyo
Wapi hapa ?Bongo hii hiiView attachment 1678852
Picha inafaa kubeba tuzo ya uzi.maana imepigwa kwa ueledi mkubwa imewasilisha mandhari ya kuvutia pia na muonekana wako bila kuacha a single hints hata watu wa forensic hawataambulia kitu.....Bongo hii hiiView attachment 1678852
Haka ka road kanashwishi kukanyaga mafuta haswaaa 😀😀Hii picha hata mimi nimeikubali
Barabara gani hii JB?Bongo hii hiiView attachment 1678852
Nimerudi tena kuweka mafuta pale pale,yafuatayo ndio mazunguzo yangu na Yule dadaMwachie 10 ya pole.
Uko vizuri sana MzeeBaba. Kwa kutoa Tips uko vizuri sana. Nimekubali.Nimerudi tena kuweka mafuta pale pale,yafuatayo ndio mazunguzo yangu na Yule dada
Mimi:Mambo
Yeyeoa
Mimi:Niwekee 15,000 (huku nampa20,000)
Yeye:Naomba uangalie kabla sijaanza kuweka nishakukariri
Nikatabasamu na yeye akacheka
Yeye:Siku ile mshale ulipanda
Mimi:Ulipanda ni kweli uliniwekea mafuta
Yeye:Ulijisikiaje
Mimi: Nilijisikia vibaya sana ndio maana leo nimekuja tena kwako nikuombe msamaha
Yeye:Mimi nimekusamehe (huku akinirudishia chenji 5,000)
Mimi:Asante hio chenji kaa nayo ni sehemu ya msamaha wangu.
Nilimuacha ametabasamu na roho yangu imetulia.
...bado jambo moja hujafanya....fanya kubadilisha namba za simu...ndiyo mmeshakuwa friends hivyo..Nimerudi tena kuweka mafuta pale pale,yafuatayo ndio mazunguzo yangu na Yule dada
Mimi:Mambo
Yeyeoa
Mimi:Niwekee 15,000 (huku nampa20,000)
Yeye:Naomba uangalie kabla sijaanza kuweka nishakukariri
Nikatabasamu na yeye akacheka
Yeye:Siku ile mshale ulipanda
Mimi:Ulipanda ni kweli uliniwekea mafuta
Yeye:Ulijisikiaje
Mimi: Nilijisikia vibaya sana ndio maana leo nimekuja tena kwako nikuombe msamaha
Yeye:Mimi nimekusamehe (huku akinirudishia chenji 5,000)
Mimi:Asante hio chenji kaa nayo ni sehemu ya msamaha wangu.
Nilimuacha ametabasamu na roho yangu imetulia.
Mambo hayo hayo Jamaa alioa Traffic juzi tu hapa....bado jambo moja hujafanya....fanya kubadilisha namba za simu...ndiyo mmeshakuwa friends hivyo..