Ilishawahi nitokea kama hii.Duh leo nimetenda dhambi roho imeniuma sana. Nilikuwa na gari sijaizoe. Taa ya mafuta imewaka range inanionesha nina km20 tu. Nikaamua niweke mafuta ya kunifikisha home tu nikaweka 10,000 nilijua itaongeza range hadi km60 hivi. Baada ya kuweka mshale haukusogea wala range haikubadilika. Nikaenda ninapoenda range inashuka.
Kurudi nikapita njia ile ile range iko 14, nikapita pale kituo cha mafuta nikamwambia Yule dada nimeweka mafuta hapa kwako lakini gauge haikupanda wala kuonesha kuna mafuta yameingia, umeniibia! Dada Yule akasema sijakuibia nimekuwekea hela ulionipa nikamwambia haiwezekani kusiwe na mabadiliko kwenye gauge, ikabidi niende kituo kingine nikaweka 10, aisee gauge ikakurupuka ikapanda sana na range ikaja kwenye 110km. Hapo nikajua ni kweli aliweka mafuta nimemsingizia tu. Nimejisikia vibaya sana.
Traffic wa kike watu poa sana.Sidhani. ...
Tena wa kike ndio laini, sister angu alishamsaundisha traffic wa kike mm nilikuwa sijafunga mkanda na akaeleweka. Traffic aliishia kusema next time asirudie
Mwachie 10 ya pole.Nikipita tena
Duh 30,000 nzima! Kuna mwenzio mwingine humu alitoa 50,000/-. Mimi sometime wananiomba namuachia 5,000/- tuTraffic wa kike watu poa sana.
Niliwahi mpita traffic wa mmama njia ya moro. Akanisimamisha nikasimama mbele sana. Ikabidi nirudi. Akaniongelesha vizuri sana jinsi ilivyo hatari kukimbiza gari. Nikampa 30 ya kumuonea huruma.
Ndo traffic pekee mpaka sasa aliewahi hata kuongea vizuri na mimi.
Inashangaza mzee! Wanawapooza na thirty mara fiftyDuh 30,000 nzima! Kuna mwenzio mwingine humu alitoa 50,000/-. Mimi sometime wananiomba namuachia 5,000/- tu
Yule alikuwa mama mtu mzima kidogo.Duh 30,000 nzima! Kuna mwenzio mwingine humu alitoa 50,000/-. Mimi sometime wananiomba namuachia 5,000/- tu
Kasoro
Kasoro acha usumbuf
Ukisafiri usiku nidhamu ya mwendo inahitajika, ukizoea myendo ya magari ya Ulaya inakuwa tabu kwelikweli.Oh mashimo yameongezeka? Na usiku kuona mbali ni issue. Mara ya mwisho nilisafiri jioni nikapata msala saa 12 ndio ilikuwa pona yangu vinginevyo ningelala barabarani hadi asubuhi. Sisafiri tena usiku.
Duh hapa mshale unalala kulia!Bongi hii hiiView attachment 1678852
Uck mwem mdaaa wa kulal ntajibu keshoKulikoni...!!?
Bongo hii hiiView attachment 1678852
Uck mwem mdaaa wa kulal ntajibu kesho
Hhhhhh kasie unajua hauk seriously kabisa yaan nimpe banana bataringanya na yule wa naomba nipat alau nafs veepMajibu utampa Baba Bataringaya aniletee nitakapokuwa.
Hhhhhh kasie unajua hauk seriously kabisa yaan nimpe banana bataringanya na yule wa naomba nipat alau nafs veep
Hauk ni wish sio mpka tukumbushe matukio ya nyuma ndio ujiteteee Koo taraka tayarHappy New Year.
Hauk ni wish sio mpka tukumbushe matukio ya nyuma ndio ujiteteee Koo taraka tayar
Ndioo nimekimbia daaah mzima lakin baba bataringanya wako huyocc: Baba Bataringaya