Kuna mashine moja ya Happy Nation nyuma imeandikwa "Voice of Manka". Hicho ni kisu, mwisho wa maneno. Sijajua hiyo scania engine yake ilifanywa nini. Hiyo ndo kiboko ya gari zote za Mbeya, iringa na Songea.
@ mwitu. Kwa hizo ngoma hapo. SUPER FEO haoni ndani. na hilo jeupe la mbele anakaribia kuachwa ni yu tong kama Super feo. Mchina haoni ndani kwa Marcopolo na Scania zilizo nzima kama Happy nation na Nganga
iyo al saedy kuna siku nilipanda nilifika dar saa tano tumetoka mbeya stend tunafika mwanjelwa dereva anasema gari haina mafuta tukarudi tena stend kuu wakaweka mafuta tunafika mikumi katikati mafuta yakaisha tena