Wazee wa Kigoma wamuonya Spika Ndugai

Wazee wa Kigoma wamuonya Spika Ndugai

huu mwaka huu

chondechonde hao wanaoenda kuvunja chungu kwa kilugha kubaja nyungu... ni hatari sana itapuputisha ukoo mzimaaa ... naomba wahusika wasitishe maana hio ni zaidi ya nyuklia balistick, tena wakitumia ile stail ya kuivisha ndizi kuwa mbivu... yaani sijui...

tusifike huko..
 
Si wamloge tu km Muhidhiri vikono vyake vikatike tuone lile joho analovaa litamweneaje?Alaah!!!
 
Amuulize mudhihir
Kiburi cha Ndugai is unprecedented kwa kiongozi wa uma.Lakini who did not foresee this coming?Mnakumbuka what happened wakati wa kinyang'anyiro cha ubunge kwenye jimbo lake?Sina haja ya kukumbushia, nadhani wafuatiliaji wa mambo watakuwa wanakumbaka.Kwangu Mimi tukio lile baya kabisa lilitosha kabisa kumuengua Ndugai kwenye kinyang'anyiro kile cha ubunge and consequently utumishi wa uma of such a high profile kama Uspika.Tulipiga kelele sana hapa JF,lakini nobody listened to us.Sasa,the real him is coming to the open,tusilalamike.
 
Safi sana....haya ndo majitu yanayopaswa kufa kabisa maana hayana faida zaidi ya ukandamizaji.....Lilivyo na kibri bado litaendelea kumuandama ZITTO

Wewe unajitoa ufahamu kwa kutoona kibri ndani ya Zitto! Basi vijana wenzagu ni majanga, huwezi kutaka uheshimiwr wewe huna nidhamu, tweets za Zitto kwa Ndugai hazikuwa za kiungwana kabisa hasa ukichukuli Zitto ni kijana msomi lakini nikisoma hicho kinachoitwa Tamko, naona ameegemea sokolewe na nguvu za giza! Aibuuu!!
 
...[https://3]

Wazee wa Kigoma wakiwakilishwa na Mwenyekiti wa Ngome ya Wazee ya Chama cha ACT Wazalendo, Alhaj Jaffar Kasisiko wamesikitishwa na kauli aliyotoa Spika Ndugai kuwa anaweza kumzuia Zitto Kabwe asiongee chochote mpaka ubunge wake utakapokwisha.

Wazee hao wanasema kitendo cha Spika kumzuia Zitto Kabwe kuongea bungeni ni sawa na kuwazuia wao wasiongee na shida zao zisiweze kutatuliwa na kudai inaonekana hiyo kauli imeshafanyiwa kazi na kitendo cha kumwita Zitto kwenye Kamati ni sawa na kupoteza muda tu na kudai jambo hilo halimtendei haki kijana wao Zitto Kabwe na wao wenyewe.

Aidha wazee hao wamemtaka Spika Job Ndugai na viongozi wengine wasiwe na kibri na watazame mambo ambayo yanawaonganisha kwa pamoja.
.
NB: kuna tafsiri gani kwa sasa watu kutoa matamko na baadhi kuchukua maamuzi ya kuwashtakia watesi wao kwa Muumba kwa njia mbali mbali ziwe ni za kidini, kimila, kishirikina nk huku wakiachana na njia zilizooeleka za kisheria kama za kipolisi na kimahakama?
 
...[https://3]

Wazee wa Kigoma wakiwakilishwa na Mwenyekiti wa Ngome ya Wazee ya Chama cha ACT Wazalendo, Alhaj Jaffar Kasisiko wamesikitishwa na kauli aliyotoa Spika Ndugai kuwa anaweza kumzuia Zitto Kabwe asiongee chochote mpaka ubunge wake utakapokwisha.

Wazee hao wanasema kitendo cha Spika kumzuia Zitto Kabwe kuongea bungeni ni sawa na kuwazuia wao wasiongee na shida zao zisiweze kutatuliwa na kudai inaonekana hiyo kauli imeshafanyiwa kazi na kitendo cha kumwita Zitto kwenye Kamati ni sawa na kupoteza muda tu na kudai jambo hilo halimtendei haki kijana wao Zitto Kabwe na wao wenyewe.

Aidha wazee hao wamemtaka Spika Job Ndugai na viongozi wengine wasiwe na kibri na watazame mambo ambayo yanawaonganisha kwa pamoja.
.
NB: kuna tafsiri gani kwa sasa watu kutoa matamko na baadhi kuchukua maamuzi ya kuwashtakia watesi wao kwa Muumba kwa njia mbali mbali ziwe ni za kidini, kimila, kishirikina nk huku wakiachana na njia zilizooeleka za kisheria kama za kipolisi na kimahakama?
Hao wasiojulikana hawakujua kwamba nao hawataishi kwa raha tena
 
Back
Top Bottom