Wazee wa Kigoma wamuonya Spika Ndugai

Wazee wa Kigoma wamuonya Spika Ndugai

Hapa CCM sijui watakimbilia wapi kuokoa jahazi maana wameshawatukana ''wazee'' wastaafu kuwa wanawashwa washwa na kuwasumbua, ambao pengine wangeweza ku-balance mambo haya .... Soma Kisa cha kuoneshana nani zaidi miaka hiyo kufuatana na simulizi za wahenga
Geofrey Maseta JF-Expert Member
Nilichosikia kipindi Mzee Chrisant Majiyatanga Mzindakaya ni mkuu wa mkoa wa Kigoma alijaribiwa na wazee wa mji wa Kigoma kwa kuning'iniza balaghashia hewani na makoti yao ..mfipa yule ( Mzee Mzindakaya ) alichowafanyia wale wazee ni kuwaambia wainuke kwenye viti lkn wale wazee walishindwa kuinuka ...na Mzindakaya kuibuka kidedea ...mkuu wafipa ni habari nyingine kabsa kwa hapa Tz Source: Naomba kujua Historia ya Demo walizoonyeshana hayati Rajab Mbhano v/s Chrisant Mzindakaya.

SAKATA la mradi wa ujenzi wa bwawa la Kawa lililopo ndani ya Ranchi ya Nkundi iliyo chini mwakezaji mzalendo Dk. Chrisant Mzindakaya limechukua sura mpya baada ya mwekezaji huyo kutishia kuirejeshea Serikali fedha zake kiasi cha Sh. Bilioni 1.09 iliyotoa kwaajili ya ujenzi wa mradi.
MZINDAKAYA ATISHIA KUJITOA UWEKEZAJI BWAWA LA KAWA-SUMBAWANGA - TABIANCHI
 
Ndugai akamuilize mudhihir mudhihir vizuri kuhusu zitto
 
Hawajielewi hao wazee naona wana washwa washwa sijui wamekalia upupu

hapa kazi tu au pah pah pah
Bro inaonekana huwajuii vizuri WAZEE WA CHIGOMA.......!!!
Just for your info, Mudhihir leo hana mkono wa kulia baada ya kutofautiana na ZZK!!!
Tell your bogus speaker to be careful, or else.........!!!!!!
 
Sio wazee hao, ni wahuni wa ujiji wanaotegemea ndumba kuishi wakiwa wamezingirwa na umaskini wa kiwango cha hali ya juu
 
....tatizo la Ndugu Gai ni kufikiri kuwa Wabunge wako Bungeni na si wawakilishi wa Wananchi walio wachagua. Kwa sababu yeye ni Supika, haoni dhana ya Uwakilishi kwa sababu hasiami kuwasemea walomchagua. Ubunge ulukuwa NGAZI ya kukwea juu.
Ifike wakati sasa Katiba itenganishe kazi za Wabunge na madaraka mengine kama U-Supika, Uwaziri, U-RC na majukumu mengine yasiyokuwa ya Kibunge..
Umeongea point japo umeandika kimanikinikia sio mbaya huenda upo kilaji
 
Hatari,ila ndugai amekuwa na chuki ya dhahari kwa wapinzani,ubabe wake ndio umemfikisha hapa,he will pay the price
 
Wale wazee wa KG ni hatari sana wanaweza kuirejesha heshima kwa muda mfupi sana, kuwa makini nao sio mchezo.
 
Wazee wa kigoma Mungu awabariki sana kwa kumuonyesha huyu mungu mtu kidole.sasa fanyeni kweli ili ashike adabu.asifikiri kila mtu ni wa kupiga rungu tu kwenye kampeni.mtieni kelebu,mpaka adabu ishikane na maungo yake.jiongo sana hili zee .ndege iliyombeba Lisu imelipiwa na .... !!! Utaongopa mpaka kaburini !!! Eti bondia wa mirungu,kapige rungu zako Kigoma uone.
 
Back
Top Bottom