PostGE2025 Wazee wa Dar es Salaam wakisubiri kumsikiliza Rais Samia

PostGE2025 Wazee wa Dar es Salaam wakisubiri kumsikiliza Rais Samia

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam wamewasili katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), kwa ajili ya kumsikiliza Rais Samia Suluhu Hassan ambaye anatarajiwa kuzungumza nao leo Desemba 2, 2025.

Mbali na hilo, Rais Samia atatumia jukwaa hilo kulihutubia Taifa juu ya masuala mbalimbali yanayolihusu Taifa


Pilau limeshapikwa?? soda na chupa za bia zipo ?? Sigara kali na vikoi na kanga zipo ?
 
Wazee wenyewe akili kama za Mangungu!

721999697.jpg
 
Jmn na mm ni Mzee, je nikienda nitaingia ukumbini au hao walishapewa kadi
 
Akimaliza huko aje na huku Shinyanga akutane na mazee ya kazi (MAZEE YA KISUKUMA) mi nikiwa mmojawapo😑
 
Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam wamewasili katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), kwa ajili ya kumsikiliza Rais Samia Suluhu Hassan ambaye anatarajiwa kuzungumza nao leo Desemba 2, 2025.

Mbali na hilo, Rais Samia atatumia jukwaa hilo kulihutubia Taifa juu ya masuala mbalimbali yanayolihusu Taifa

Obvious ni vizee vya upande ulee tu wa BAKWATA ndio vimejazana humo.
 
Na muombe hela zenu za kustaafu na si vikokotoo...mmekuwa omba omba mpk mkera. Sasa kakaeni km mabubu tutakutana mitaani.
 
WENDA GEN Z haijawajua wazee wa jiji? πŸ˜…πŸ˜…
 
Mawazo ya kizamani. Wanaendesha siasa za 1970's mwaka 2025.

Una rundo la vijana wanaolalamikia na kuhofia mbele yao, halafu unaenda kuita wazee vikongwe ambao mbele yao ni fupi kuliko nyuma yao.

Kanuni ya kwanza unapoongea mbele za watu ni kujua wasikilizaji wako.
 
Back
Top Bottom