Just Pray
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 2,142
- 4,779
Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam wamewasili katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), kwa ajili ya kumsikiliza Rais Samia Suluhu Hassan ambaye anatarajiwa kuzungumza nao leo Desemba 2, 2025.
Mbali na hilo, Rais Samia atatumia jukwaa hilo kulihutubia Taifa juu ya masuala mbalimbali yanayolihusu Taifa
Mbali na hilo, Rais Samia atatumia jukwaa hilo kulihutubia Taifa juu ya masuala mbalimbali yanayolihusu Taifa