.yes mkuu ni vile vizee vilikimbia vijiji vya ujamaa enzi za nyerere vikaja dar kufanya kazi bandarini,relini nk nk.vingi vinaona aibu kurudi kwao kijijini maana havijaacha hata kibanda vitafikia wapi?wale wanaojitambua wamerudi kijijini wanakula pensheni safi walizowekeza kwa watoto,mashamba,mifugo,majengo nk nk.ni maskini sana wanaokuja kumsikiliza prof vasco da gamaMkuu umeniwahi,na wengi ya wazee hao ni kutoka Ilala na Temeke,na hasa wa Ilala wao ndio uwa wanajiita wenye jiji,elimu hawana,maisha ya kueleweka hawana,wao ni vijiweni na story za kale tu na story za Simba,Pan na Young,wazee waliostaarabika wako mbali kabisa na hao wazee!
.yes mkuu ni vile vizee vilikimbia vijiji vya ujamaa enzi za nyerere vikaja dar kufanya kazi bandarini,relini nk nk.vingi vinaona aibu kurudi kwao kijijini maana havijaacha hata kibanda vitafikia wapi?wale wanaojitambua wamerudi kijijini wanakula pensheni safi walizowekeza kwa watoto,mashamba,mifugo,majengo nk nk.ni maskini sana wanaokuja kumsikiliza prof vasco da gama
Wazee wa daressalaam ndo wazee pekee wanaoweza kudanganywa kirahisi na kumpigia makofi anayewanganya na jamaa hapo alishaona ndo mahali sahihi pa kupigia porojo zake
JE Umewahi Kujiuliza Gharama Za Mkutano Huo Zinalipwa Na Nani Kama Siyo Serikali? Je Umewahi Kujiuliza Iweje Wahudhuriaji Wawe Wazee Wa C.C.M Peke Yao Huku Wakivalia Matambala Yao Ya Kijani Utafikiri Mkutano Ni Wa Chama Chao Na Gharama Zimelipwa Na Chama Chao? Je Umewahi Kujiuliza Ni Gharama Kiasi Gani Zinatumika Kwa Kuendekeza Ufisadi Huo Huku Bohari Kuu Ya Madawa Ikiwa Haijalipwa Pesa Zake Zote,waalim Malimbikizo Hayajalipwa? Na Kwanini Ahutubie Wazee Wa Dar Peke Yao Na Siyo Wa Nzega? Ni Lini Zamu Ya Vijana? Kuandaa Mkutano Kwa Gharama Za Serikali Halafu Wahudhuriaji Wawe Wazee Wa C.C.M Peke Yao Huo Ni Ufisadi Na Ni Matumizi Mabaya Ya Pesa Za Umma!! Wananchi Tuzinduke Tusiruhusu Hii Hali Ijirudie.
No one cares about your political views in the first place