Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
I think dis z outdated and useless tradition to our country top leader! why not addressing direct through media?
You might be out of topic mazee!
I think dis z outdated and useless tradition to our country top leader! why not addressing direct through media?
Ni wavaa hijabu na vibaraghashia. Wewe hujaona?
Ni wavaa hijabu na vibaraghashia. Wewe hujaona?
Ni wavaa hijabu na vibaraghashia. Wewe hujaona?
Hivi hawa watu ambao kila mambo yakimchachia Jk huwa anawaokota na kuongea nao ni akina nani?
Mbona hushangilia sana hata kama sio pointi?
Ni kwanini aongee na wazee tu na sio wananchi?
Ni kwa nini iwe Dar es salaam tu?