Rais ajae alikuwa Chato juzi kuchota busara za Msuluhishi wa Mgogoro wa uchaguzi wa znz wa 2020
Naunga mkono hoja. Uongozi anaujua. Approach yake huwa ni kuelewesha na kuelekeza. Kuna wakati utafikiri ni mwalimu.Wazee wa CCM na vyombo vya ulinzi na usalama Muangazieni huyu RC wa DSM. Mimi namuona kuwa hazina ya U Rais baada ya Mh Magufuli. Nimnyenyekevu na ana hekima yakipekee sana huyu Mzee.
Visasi ni matukio muhimu sana ya kufanya katika maisha. Bila visasi watu wengine watashindwa kujifunza kutofanyia wanyonge ubaya.Acha kupotosha. Raisi ajaye alienda Chato kumfundisha busara yule mzee mbishi na mpenda visasi wa Chato
Huyo aliutia nuksi mkoa wa DSM..Ha kuna....kiongoz kama Paul makonda