Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 949
- 2,865
Mkataba wa bandari waaibua Wazee wa Baraza la Ushauri.
==
Wazee wamesema mjadala wa bandari utatugawa kutokana na namna unavyoendeshwa. Mzee mmoja wa Dar amesema hakuna anayepinga mpango huo au anayeshuku uwezo wa kifedha wa wawekezaji hao bali hawakubaliani na baadhi ya vipengele vya mkataba.
Ili kuepuka makundi, wazee wametoa wito maoni ya wataalamu yazingatiwe na vifungu virekebishwe. Aidha wenye malalamiko watumia njia maalumu kufikisha ujumbe
==
Wazee wamesema mjadala wa bandari utatugawa kutokana na namna unavyoendeshwa. Mzee mmoja wa Dar amesema hakuna anayepinga mpango huo au anayeshuku uwezo wa kifedha wa wawekezaji hao bali hawakubaliani na baadhi ya vipengele vya mkataba.
Ili kuepuka makundi, wazee wametoa wito maoni ya wataalamu yazingatiwe na vifungu virekebishwe. Aidha wenye malalamiko watumia njia maalumu kufikisha ujumbe