Uchaguzi 2020 Wazazi tulaani kitendo cha watoto wetu kukoseshwa masomo na kutumiwa kisiasa

James Martin

JF-Expert Member
Apr 2, 2016
1,206
1,509
Kampeni za mwaka zimeingia hatua mpya ya kuwalazimisha watoto kujiingiza kwenye kampeni za kisiasa. Mambo hayo yametokea huko Bukoba baada ya wanafunzi kushinikizwa kusimama barabarani kuupokea msafara wa mgombea wa CCM. Mimi kama mzazi nikigundua mwanangu kesho atakosa masomo kwa ajili hii nitamuamuru akae nyumbani ajisomee na kucheza na wenzake.

2519920_IMG_20200915_163453.jpg
 
Tunalipa kodi ili ipatikane fedha ya elimu bure, halafu watoto wetu wanatolewa shuleni na kupelekwa kwenye mambo ya siasa badala ya kupata haki yao ya msingi ya kusoma.

Na wengi wa watoto hao hata umri wa kupiga kura hawajafikia.

Hao walimu wachukuliwe hatua kwa kuchezea kodi zetu.
 
Kampeni za mwaka zimeingia hatua mpya ya kuwalazimisha watoto kujiingiza kwenye kampeni za kisiasa. Mambo hayo yametokea huko Bukoba baada ya wanafunzi kushinikizwa kusimama barabarani kuupokea msafara wa mgombea wa CCM. Mimi kama mzazi nikigundua mwanangu kesho atakosa masomo kwa ajili hii nitamuamuru akae nyumbani ajisomee na kucheza na wenzake.

Sii Afadhali hawa barabarani .sasa ndioo wanao jaza vichwa kwenye inayoitwa mafuriko ya Magu
Kampeni za mwaka zimeingia hatua mpya ya kuwalazimisha watoto kujiingiza kwenye kampeni za kisiasa. Mambo hayo yametokea huko Bukoba baada ya wanafunzi kushinikizwa kusimama barabarani kuupokea msafara wa mgombea wa CCM. Mimi kama mzazi nikigundua mwanangu kesho atakosa masomo kwa ajili hii nitamuamuru akae nyumbani ajisomee na kucheza na wenzake.

Washenzi kweliii kwelli na heri ya hao wa barabarani .sasa hivi ni uwanjani ndioo kinachoitwa mafuriko ya Magu
 
Back
Top Bottom