Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,987
Salaam members...!!
Naomba kuuliza wazazi na walezi wenzangu, hv inakuaje au inawezekanaje mtoto wako akapata mimba halafu ni mwanafunzi wa shule ya msingi au secondary halafu mpk inafikia miezi saba hujui?
Hv kweli tuko serious na malezi ya hawa watoto?!!!
Hv hata mabadiliko ya mwili huyajui we mzazi?!!Au ndo ubusy na uzungu tunaoiga tunawapa sana uhuru hawa watoto?!!
Hv hatujui kua kufeli kwa mtoto na wewe mzazi umefeli?!!
Mtoto anapopata mimba failure wa kwanza ni wewe mzazi...ukubali, ukatae...
Anashindwaje bint kumaliza form four kwa sababu ya mimba?!!
Siongelei wa kubakwa hapa tafadhali
Unahis ataweza kumkanya mwanawe baadae asome kama yeye miaka minne kukituliza alishindwa?!!
Kuna tofauti kubwa kati:
Kumaliza shule
Kufaulu shule
Kupata mimba shuleni.
Huyu wa mimba ni failure yumkini baadae anaweza kua na good life kuzid wote hapo Juu ila bado jinamiz la mimba analo.
Ndugu zangu sisi ni waafrica tuzingatie maadili yetu na mila zetu zinavyotaka mimba za utoton zinaumiza sana
Unalea mwana na mjukuu!!!
Niwaombe radhi wote waliopata mimba shuleni au wenye watoto wenye hizo hali!
Lengo tuelimishane na kujifunza!!!
My own brand!!
Naomba kuuliza wazazi na walezi wenzangu, hv inakuaje au inawezekanaje mtoto wako akapata mimba halafu ni mwanafunzi wa shule ya msingi au secondary halafu mpk inafikia miezi saba hujui?
Hv kweli tuko serious na malezi ya hawa watoto?!!!
Hv hata mabadiliko ya mwili huyajui we mzazi?!!Au ndo ubusy na uzungu tunaoiga tunawapa sana uhuru hawa watoto?!!
Hv hatujui kua kufeli kwa mtoto na wewe mzazi umefeli?!!
Mtoto anapopata mimba failure wa kwanza ni wewe mzazi...ukubali, ukatae...
Anashindwaje bint kumaliza form four kwa sababu ya mimba?!!
Siongelei wa kubakwa hapa tafadhali
Unahis ataweza kumkanya mwanawe baadae asome kama yeye miaka minne kukituliza alishindwa?!!
Kuna tofauti kubwa kati:
Kumaliza shule
Kufaulu shule
Kupata mimba shuleni.
Huyu wa mimba ni failure yumkini baadae anaweza kua na good life kuzid wote hapo Juu ila bado jinamiz la mimba analo.
Ndugu zangu sisi ni waafrica tuzingatie maadili yetu na mila zetu zinavyotaka mimba za utoton zinaumiza sana
Unalea mwana na mjukuu!!!
Niwaombe radhi wote waliopata mimba shuleni au wenye watoto wenye hizo hali!
Lengo tuelimishane na kujifunza!!!
My own brand!!