Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,986
- Thread starter
- #21
kweli kaka elyHata maisha safi wanapata mimba, tena sana tu. Wengi wao wakipata mimba wazazi wanafanya haraka kuzitoa as wapo na "exposure", mtoto anapelekwa Marie Stopes shaaap anapewa ile tablet maarufu mzazi anaomba two days off, baada ya hapo mtoto anarudi shule bila wasi.
My own brand!!