Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,080
Kwakweli kwa tamaduni zetu hili suala limekuwa likifumbiwa macho na la kukwepa, ila angalau zamani tunapobalehe wavulana tulienda jandoni na dada zetu walienda kufundwa unyango, kwa sasa wavulana na wasichana wanakuzwa peku peku bila hizi elimu muhimu, ni jambo hatari sana.
Binafsi nakumbuka nina wazazi wote wameelimika na walikuwa watumishi serikalini lakini huwezi amini ni mara moja tu nikiwa nimemaliza likizo narudi shuleni form 3, mzazi moja ndio aliniambia kaa mbali na wasichana, yani ndio hivyo tu. hatukuwahi kukaa hata kwa dakika 5 tu anipe elimu.
sizungumziii elimu ya kwamba mzazi kumpa gazeti mtoto wake akajisomee ama amwambie aende semina ya vijana wadogo LA HASHA !! Hapa elimu nayozungumzia ni ile mlezi na mtoto wake wanakaa meza moja, mzazi anampa mwanae a,b,c,d kuhusu S*x, ni kwasababu maneno kutoka kinywa cha mlezi ndio huwa yana nguvu zaidi.
Tukija kwa kizazi cha sasa hali imekuwa mbaya,
watoto wetu wanatembea na smartphones zilizojaa mambo ya S*x
Miziki inachochea sana nyimbo za S*x
Mavazi yanahamasisha sana S*x
Kiufupi hali sio kama zamani tena,
mambo yamebadilika sana, Mzazi ukikaa kimya mwanao anaweza kuteleza na kuangukia raha za muda mfupi na kujutia muda mrefu.
Binafsi nimeona mtoto wa kiume mwenye miaka 14
Hapa najua tayari gari limewaka na anatamani sana kus*x, mimi kama mzazi nitajilaumu sana nikisikia kapata magonjwa, kapachika mimba, n.k. nataka nichukue tahadhari mapema ila nahitaji mwanga wenu zaidi.
Ni njia zipi tunazoweza kuwaelimisha watoto wetu haya mambo iwe tahadhari ya mapema kabla ya kujutia ?
Binafsi nakumbuka nina wazazi wote wameelimika na walikuwa watumishi serikalini lakini huwezi amini ni mara moja tu nikiwa nimemaliza likizo narudi shuleni form 3, mzazi moja ndio aliniambia kaa mbali na wasichana, yani ndio hivyo tu. hatukuwahi kukaa hata kwa dakika 5 tu anipe elimu.
sizungumziii elimu ya kwamba mzazi kumpa gazeti mtoto wake akajisomee ama amwambie aende semina ya vijana wadogo LA HASHA !! Hapa elimu nayozungumzia ni ile mlezi na mtoto wake wanakaa meza moja, mzazi anampa mwanae a,b,c,d kuhusu S*x, ni kwasababu maneno kutoka kinywa cha mlezi ndio huwa yana nguvu zaidi.
Tukija kwa kizazi cha sasa hali imekuwa mbaya,
watoto wetu wanatembea na smartphones zilizojaa mambo ya S*x
Miziki inachochea sana nyimbo za S*x
Mavazi yanahamasisha sana S*x
Kiufupi hali sio kama zamani tena,
mambo yamebadilika sana, Mzazi ukikaa kimya mwanao anaweza kuteleza na kuangukia raha za muda mfupi na kujutia muda mrefu.
Binafsi nimeona mtoto wa kiume mwenye miaka 14
- Kashaanza kuota ndoto nyevu (ndoto za sex kwa kijana anaebalehe),
- Kaanza mazoea na binti wa mtaani mwenye miaka 18
- Simu yake huwa anasechi mambo ya ngono, ninajua kwasababu account yake ya google ninayo inaonyesha historia ya kila kitu.
- Nina wasi wasi kashaanza kukwea mnazi (p*ny*to)
Hapa najua tayari gari limewaka na anatamani sana kus*x, mimi kama mzazi nitajilaumu sana nikisikia kapata magonjwa, kapachika mimba, n.k. nataka nichukue tahadhari mapema ila nahitaji mwanga wenu zaidi.
Ni njia zipi tunazoweza kuwaelimisha watoto wetu haya mambo iwe tahadhari ya mapema kabla ya kujutia ?