Wazanzibar muungano tutaununua...

Wazanzibar muungano tutaununua...

Status
Not open for further replies.
Historia inaonyesha zanzibar ilikuwa nchi na mamlaka yk, fedha zake, bendera na wimbo wa taifa watoto walikuwa wanaimba mashuleni kabla ya muungano huu wa kidhalim wa JMT, na Zanzibar iliweza kusimama kilivyo kama nchi.,

Nyerere ambaye Tanganyika ni baba yenu wa Taifa ndio alimshawishi karume kuungana kumbe alikuwa na lake rohoni, baada karume kugundua Tanganyika wanataka kuimeza zanzibar mukampiga risasi kumuua, kutoka hapo ilikuwa mtu yeyote akiutaja muungano alikuwa anaitwa muhaini kufungwa jela miaka isiyojulikana.,

Usizuge zuge watu unataka hoja gani., mbona munapenda kujitoa fahamu???

hiyo ZNZ unazungumzia ndio ile ya Sultani?unazungumzia bendera ya Sultan?wala usihofu,mutaipata tu na Sultan wenu atarudi,sasa hivi tunahakikisha tunawasaidieni mpate nchi yenu!na hii katiba ya serikali tatu hatutaki,tunataka serikali moja ya Tanganyika!Suala la uraia wa nchi mbili pia hatulitaki!ngoja kura ya maoni ije,tutawasaidia mpate nchi yenu mpumuwee!
 
hiyo ZNZ unazungumzia ndio ile ya Sultani?unazungumzia bendera ya Sultan?wala usihofu,mutaipata tu na Sultan wenu atarudi,sasa hivi tunahakikisha tunawasaidieni mpate nchi yenu!na hii katiba ya serikali tatu hatutaki,tunataka serikali moja ya Tanganyika!Suala la uraia wa nchi mbili pia hatulitaki!ngoja kura ya maoni ije,tutawasaidia mpate nchi yenu mpumuwee!

Basi bora muarabu coz zanzibar ilipata mpaka kiti kule UN,baada ya ufisadi wa nyerere zanzibr imepoteza kila kitu chake,zanzibar yenye mamlaka kamili ni lazima na mkoloni mweusi ataondoka tu.
 
Ndugu yangu hebu jaribu kuficha ujinga kidogo,hivi umesahau Zanzibar ni kisiwa na sote sisi ni wakuja? Jenga hoja vipi tutasimama kama nchi nje ya muungano?

Unataka kusema watanganyika wameshushwa na mungu?soma ndugu yng usikurupuke,binaadam kaanza mmoja baadae wakawa wengi,muungano
umekuja juzi lakini zanzibar ilikuwepo na itaendelea kuwepo,usikubali binaadam kukutawala kifikra huo ni utumwa,nyerere anaoza sasa jaribu kuwa huru kimawazo,zanzibar kwanza.
 
Wakati ule karafuu ilikuwa ni kama mafuta kwa visiwa vya Zanzbar! Zanzbar ingeweza kujiendesha kiuchumi wakati ule lakini sio sasa! Mchango wa muungano kwa uendeshaji wa serikali ya mapinduzi ni mkubwa sana ila wengi wanaopiga kelele kuuvunja muungano ama hawajui au wana malengo yao binafsi!

Sasa kama haina uchumi mnaitawala zanzibr kwa nini wadanganyika?
 
kuna mawaziri wamelalamikia sana rasmu ya pili ya katiba kuja na muarobaini wa serikali tatu,kwamba watakuwa nje ya bunge la bara ambaro lina mvuto,lina changamoto,lina fursa,malipo yake makubwa,wanalia kwelikweli kuhusu kuwepo na serikali tatu na wanadai watapinga kwa nguvu zote serikali tatu ili waendelee kuwemo katika bunge la bara.wanadai bunge la zanzibar linafanana na kikao cha baraza la madiwani la halmashauri.

Hao ni bendera ya kijani,wanalalamika pia kwakuwa tembo wenu kuwakosa kuwakata kwenye serekal 3.
 
Tafadhali usiweke hoja za udini ktk hii mada.
Hata John Okello ameshirikiana bega kwa bega na kina Shamte,Thabit Kombo,Karume mbona hawakumtimua kwa dini yake?

Hakuna mzanzibar mkristo,itakuwa kafika kwa mbio za mwenge au yale mavamizi ya 64.
 
Mkuu,

Hivi unajua hakuna mwenyeji wa Zanzibar?

Hivi unajua Muarabu aliviokota visiwa hivyo vikiwa havina mtu aliyekuwa akiishi hapo?Au uniambie aliyakuta makabila gani visiwani hapo!

Hivi unajua nyote weusi mnaoishi Zanzibar ni uzao tu wa watumwa kutoka bara waliosafirishwa kwenda visiwani 'kupigwa bei'?

Hizo porojo za wakristo wanatoka bara muache kudanganyana,nyie nyote ni uzao wa watumwa wandengereko,wamakonde na makabila mengine kwa hiyo angalieni,unapombagua mkristo yawezekana unambagua KAKA au DADA yako!

Dini isikufanye BOGUS wakati hata dini uliletewa na walewale waliosafirisha Baba na mama zako na kubaka dada zako na wengine kuwauwa wakiwa kwenye misafara ya watumwa kuingia visiwani humo!

THING BIG!

Punguza uongo,inamaana nyie watanganyika mlishushwa na mungu?na wale wakenya je mbona wanajinasibu kwa ukenya wao na uhuru wao wanasheherekea?kwanini mzanzibar mnawatawala kwa koti la muungano?
 
Sasa kama haina uchumi mnaitawala zanzibr kwa nini wadanganyika?
Hatuitawali Zanzbar! Sasa hivi tunairudisha Tanganyika yetu halafu mtajiju! Kama mtawarudisha masultani wale itakuwa juu yenu. Lakini ukweli unabaki palepale kuwa baada ya kuachana mtajua umuhimu wa Muungano!!
 
Mi ningependa muweke mabalozi wenu dunia nzima na muwalipe kwa budget yenu ya Tsh. 1 trilioni
 
Katiba mpya imetoka na neno Tanganyika sasa mnasuasua, mmeona we mean business.

Well, too late now, we've had this conversation for eons, not anymore, just go your merry way, please, tumechoka kuwabeba, to hell na Zanzibar yenu.

Kaanzisheni Taifa lenu, mjiunge IOC, mpitishe sheria za uhamiaji za kudhibiti Watanganyika kuingia Zanzibar ku corrupt the moral values of Zanzibari children na kuchukua kazi zenu kwenye utalii, mpitishe sheria za kupiga marufuku kuuza na kunywa pombe, kuvaa vimini, milegezo, bikini na jeans, ili kusiwe na haja ya kumwagiana tindikali kwa ajili ya mavazi.

To hell with that good-for-nothing, grungy little island.

Unajua kilichopo sio wananchi kutengana ila ni mfumo wa kiutawala ambao utatupa mwangaza kuwa ukiwa eneo fulani la nchi yetu sheria zao ni tofauti kidogo na zetu mfano dar kuna sheria ya parking lkn mikoa mingine hakuna ila ninachoamini baada ya mabadiliko muungano utaimarika zaidi kuliko maana chokochoko zitakuwa hakuna.
 
Hakuna mzanzibar mkristo,itakuwa kafika kwa mbio za mwenge au yale mavamizi ya 64.
Heeeee! mavamizi hayo si ndio mnaita Mapinduzi? Kwani leo wewe huadhimishi mapinduzi.
Seif kasema Rais wa PILI WA ZNZ( Wakwanza ni Okelllo) alileta mapinduzi kuwakomboa wznz, wewe unasemaje maana Seif ndiye mznz kindaki ndaki
 
Unataka kusema watanganyika wameshushwa na mungu?soma ndugu yng usikurupuke,binaadam kaanza mmoja baadae wakawa wengi,muungano
umekuja juzi lakini zanzibar ilikuwepo na itaendelea kuwepo,usikubali binaadam kukutawala kifikra huo ni utumwa,nyerere anaoza sasa jaribu kuwa huru kimawazo,zanzibar kwanza.

TULIENI KWANZA TUJE KUCHIMBA MAFUTA YENU, YAKIISHA NDIO MVUNJE MUUNGANO.HAMTAKI KIBANO MPAKA KANZU NA MISURI ICHANIKE,chezea bara weye!!!....
 
mgekuwa kweli munaitaka tanganyika yenu ilipotoka rasimu ya kwanza tungeona mishe mishe zenu kuondoa neno Tanzania Bara mukaweka Tanganyika. Wazanzibar ndio waliopiga kelele mpaka ikarudi tanganyika kwenye rasimu., na mpaka imetajwa kwenye rasimu hakuna mtanganyika aliyesherehekea wala kuonekana kulipokea jina la Tanganyika

Nikuulize mipaka ya Tanzania bara na Tanganyika ni tofauti. Acha ubabaishaji tunaitakla nchi yetu kwa jina lolote lile hiyo ndiyo issue na tuko serious.
 
Historia inaonyesha zanzibar ilikuwa nchi na mamlaka yk, fedha zake, bendera na wimbo wa taifa watoto walikuwa wanaimba mashuleni kabla ya muungano huu wa kidhalim wa JMT, na Zanzibar iliweza kusimama kilivyo kama nchi.,

Nyerere ambaye Tanganyika ni baba yenu wa Taifa ndio alimshawishi karume kuungana kumbe alikuwa na lake rohoni, baada karume kugundua Tanganyika wanataka kuimeza zanzibar mukampiga risasi kumuua, kutoka hapo ilikuwa mtu yeyote akiutaja muungano alikuwa anaitwa muhaini kufungwa jela miaka isiyojulikana.,

Usizuge zuge watu unataka hoja gani., mbona munapenda kujitoa fahamu???

Nikumbushe ni Kafir gani vilealimuuaMh. Karume? Oh dear me, inonyesha jinsi mlivyo waongo, kama mlioweza muua mtu aliyewaletea maendeleokwa kipindi kifupi hivyo you can do anything ninyi anything!
 
Okelo hakushirikiana na uliowataja kujenga makanisa zanzibar, makanisa yameanzia na kuzidi utawala wa nyerere babaako wa taifa., hii ndio sababu 1 kubwa wazanzibar kuukataa muungano maadili ya wazanzibar yanapotea na kuporonyoka kila leo., sasa basi tunataka tupumue

He kwa hiyo John Okello alifanya nini vile? Baniani mbaya lakini kiatu chake dawa!!!
 
Kelele za nini? Tupige kura tuondokane na lawama hizi za kijinga.
 
mahusiano mazuri kabisa kwa ndugu zetu wa tanganyika labda iwe ni kama vile wazanzibar wanaoish canada, uk, ama nchi nyengine ulimwenguni lakin siyo kama ilivyo hivi sasa wanaingia tu kiholea kujenga makanisa., na skuizi huwa wanakuja na madebe ya tindikali wanawamwagia watu alafu wanachomoka wanawasingizia wazanzibar na kuwapa majina mabaya ya ugaidi na alshabab
umevurugwa mwenzetu umevurugwa!!!wala hatukushangai kubagua wakristo coz mna roho mbaya ndio maana alshabaab nyie boko haramu nyie,alkaida nyieeeee,wakristo tumezoea amani,nendeni na zanzibar yenu msizidi kututia shombo!elimu ya madrasa ni shidraaaaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom