Kama wewe ni goigoi basi bakia hukohuko Tanganyika, ila kuhusiana na Zanzibar itakuwaje hilo hatuna hofu nalo ,kama historia inajirudia basi Zanzibar ina historia ya kujitegemea na hata kufikia kutoa misaada kwa nchi za Scandnavia wakati huo,utajiri uliopo Zanzibar ambao ni m'bichi bado hata haujaguswa ni mkubwa sana sana kushinda maelezo ,waulize wanaoulinda muungano kwa nguvu zao zote wanaweza kukupatia jibu.
Zanzibar raia wasio na ajira watalipwa kila mwezi ,dogo hilo? Sasa fikiria hilo tu ,huko Tanganyika wataliweza ? Muungano na ufe halafu tuone kama atakufa njaa mtu ,nyie vipi ? usifikiri Zanzibar hakuna dhahabu,usifikiri ZANZIBAR hakuna almasi,usifikiri hakuna uranium ,vyote hivyo vipo na vya uhakika mbali ya black gold (mafuta). mpoooo?