Mkuu kweli unayoyasema,lakini nikukumbushe tu kabla ya mwarabu kuhamia zanzibar walikuwepo wareno,wareno wao hawakutawala lakini waliishi hapo kwa muda miaka 500 na walijenga na makanisa madogo madogo,historia ya zanziabr inasema kuwa warabu waliitwa na wenyeji wazanzibar ili waje wawatoe wareno tafauti iliyokuwepo kati ya wareno na wenyeji wa zanzibar ilikuwa dini wareno walikuwa wakrisro wenyeji walikuwa waislam.sasa jiulize hao wenyeji wa zanziabar kwa wakati huo walikuwa nani,au ndio kama unavyosema walikuwa watumwa
Sasa hizo tuhuma kuwa mwarabu alivikuta visiwa vitupu ziweke kando,pili ukiristo ulitokea zanziabr ndio ukafika Tanganyika,tatu wanzanibari walikuwa wanajitawala wenyewe kabla hawajatawaliwa na mwarabu,hizi habari zote ziko kwenye internet google utazipata