Wazanzibar muungano tutaununua...

Wazanzibar muungano tutaununua...

Status
Not open for further replies.
Naanza kuona wazanzibar kuogopa kitu mlichokidai miongo kadhaa,ila kusema labda mpewe mda mwingine mjiandae hilo siwashauri make ni lazima mkubali kuanza na mda ndo huu,yasafisheni mapito ya bwana ili mfike kanaani salama.

Wahenga wanasema usitukane mamba wakati mto hujauvuka.
Sisi wazanzibar tushawapa Watanganyika kila aina ya majina mabaya,
1.Wakoloni weusi
2.Wanyonyaji
3.Machogo
4.n.k
Lakini tukajisahau hawa nao ni binadamu wenzetu wanaumia kwa ukali wa maneno yetu ambayo ndani yake ilikua na dai moja tu la kutaka Muungano uvunjike.

Kwahiyo tulio wengi hasa viongozi toka Zanzibar tulijaribu kupaza sauti kutaka Zanzibar huru bila kujishughulisha kujua vipi tutaendesha serikali nje ya Muungano.
 
Tupo ambao tungependa muunganoi uendelee kwakuwa tuna ndugu na jamaa huko Zenji.

Lakini kama wenzetu Zanzibar wanaona ni lazima wajitenge si mbaya tutaendelea kuwa majirani kila mtu atafanya mambo yake. Wajiandae tu kujiendesha isijekuwa miezi 3 tunapeleka JWTZ kuweka mambo sawa.
 
"kwani siri hasa ya mapinduzi huijui wewe? tafuta kitabu kimoja kinaitwa "kwaheri uhuru,kwaheri ukoloni" cha Harith Ghassani unaweza kupata mwangaza. Hapa ndio tatizo lenu kubwa mapinduzi hasa hamyajui wengi wa watu wa Tanganyika"

Siri ya Mapinduzi! Mkuu mimi mTanganyika nijishughulishe na mapinduzi ya kiZanzibari yanihusu nini mimi? Hasira yangu ni jinsi hawa watoto wa kufikia wanavyomtukana mama aliyewalea kwa jasho na damu! Wallahi, hamtabaki salama.
 
ka nchi kenyewe sawa na wilaya ya chunya aache waende wanajiona waarab zaid,idad yao sawa 2% ya watanganyka lakn wana kelele

Sintashangaa hali ya Sudan kusini kwa nini isitokee Zanzibar. Wana siasa wenye malengo yao waliwachochea wananchi kujitenga na serikali ya Sudan na hawajakiona walichokitarajia. Walijidai wale sio wa rangi yao kumbe wanachoangalia ni mafuta. Wajanja Walio wachonganisha hawajaridhika wanatwangana sasa wanajuta na wanamaomba ulinzi toka Khatoum. Chukueni madaraka kamili lakini ktk kizazi hiki ambapo Wapemba wanajiona hawa thaminiwi na ni warangi tofauti wenzao wa Unguja hamtabaki salama. Nyerere ktk kuondoa udhaifu huu alilazimisha Maalim Seif kuwa kiongozi wa kwanza toka Pemba
 
Hapo kwenye bluu; let's be serious, Muungano ulizaliwa not more than three months baada ya Mapinduzi. Hii inamaanisha kwamba Zanzibar iliwahi kusimama yenyewe kama taifa huru (nje ya Muungano) kwa kipindi kisichozidi miezi mitatu tu! Kabla ya hapo Mamlaka ya Zanzibar yalikuwa chini ya Mkoloni (mwarabu) tangu 1840 - 12th Jan. 1964 yaani kwa miaka 124.

Hivyo, kusema kwamba "kabla ya muungano" Zanzibar iliishije; jibu ni rahisi; YALIKUWA MAISHA YA UKOLONI WA KIARABU, labda ndio aina ya maisha wengine mnayotamani kuishi. Vinginevyo nakubaliana na mleta mada kwamba nje ya Muungano Zanzibar inatakiwa "kuanza upya" kwani kabla ya hapo Zanzibar kama taifa huru "haikuwahi kuwa na chochote" na sio kutuletea majibu mepesi na ya kijinga eti "kabla ya muungano ilikuwaje" kana kwamba Muungano ulikuja muda mrefu baada ya Zanzibar kuwa taifa huru!

Una umri gani ndugu yangu? Kwa ufupi muungano huu wa kuendeshwa ulianza 1977 baada ya kuundwa CCM. Hivyo tunaposema kabla ya muungano tunamaanisha hivyo.
Huko nyuma kuingia Zanzibar kulihitajika pasi. huko nyuma Zanzibar ililishajitangazia kuwa hahitaji misaada ya nchi yoyote. Elewa kuwa tunachokihitaji ni kurudi huko tulikokwepo, yaani kuamua mambo yetu na kukubali kujadiliana yale mambo tuliyokubalianatu.
 
Tupo ambao tungependa muunganoi uendelee kwakuwa tuna ndugu na jamaa huko Zenji.

Lakini kama wenzetu Zanzibar wanaona ni lazima wajitenge si mbaya tutaendelea kuwa majirani kila mtu atafanya mambo yake. Wajiandae tu kujiendesha isijekuwa miezi 3 tunapeleka JWTZ kuweka mambo sawa.

Hilo halina ubishi! Tena nawashauri waanzishe sheria ya kuchoma maiti maana vile visiwa vitajaa makaburi baada ya muda mfupi. Ni ushauri tu.
 
Zanzibar na hali yake huku Tanganyika inafahamika na kueleweka fika, zadi ya hilo kelele zenu na manung'uniko yasio isha, amayo hata CCM haikuyakemea yamewaamsha wenzenu hisia ya uTanganyika.

Mtikila alikuwa akionekana msema ovyo sasa ameeleweka.

Naona umekuwa makini kuonyesha ukweli kuwa matatizo ya muungano wazanzibari wengi wakifikiri ni kutokana na Tanganyika, kumbe ni dhana potofu.

Hata hivyo kwa sasa hivi ni almost too late, Watanganyika wengi wameuchoka meengano, na wako wengi hata ikipigwa kura leo watautosa!

Kitu cha maana ni Zanzibar kubeba na kuzitata kero zao wenyewe, wakipata mjomba wa kuzibeba kero hizo alhamdulilahi!

Usijidanganye. Tu nchi na tutaendelea kuwa nchi. Muda ndio utakaojieleza kuwa hamko sahihi!
 
tena hii ndoa ikivunjika naomba iwe ya talaka tatu!!!kila mtu afe na chake....
 
Una umri gani ndugu yangu? Kwa ufupi muungano huuwa kuendeshwa ulianza 1977 baada ya kuundwa CCM. Hivyo tunaposema kabla ya muungano tunamaanisha hivyo.
Huko nyuma kuingia Zanzibar kulihitajika pasi.
huko nyuma Zanzibar ililishajitangazia kuwa hahitaji misaada ya nchi yoyote. Elewa kuwa tunachokihitaji ni kurudi huko tulikokwepo, yaani kuamua mambo yetu na kukubali kujadiliana yale mambo tuliyokubalianatu.


Ni lini Zanzibar ilitangaza kutohitaji misaada ya kigeni Mkuu? Hebu acha upotoshaji; Zanzibar yenyewe ni tegemezi kwa Tanganyika kwa asilimia kubwa kuanzia ulinzi na mambo mengine kupitia mwamvuli wa muungano. Sijui nyuma unayoizungumzia wewe ni ipi au lini.
 
Ndugu zangu wazanzibar,Ni muda mrefu sasa tumekua ktk manung'uniko kwamba serikali ya Muungano(Tanganyika) wanatunyonya.

Kumekua na rai nyingi sana za kutaka mamlaka kamili ya nchi Zanzibar ili tujiendeshe kama nchi nje ya Jamhuri ya Muungano.

Wapo wazanzibar walofika mbali zaidi na kusema sasa Muungano basi.

1.Napenda niwaulize ndugu zangu wazanzibar kabla hatujapaza yowe la kuukataa muungano huu je tumejiandaaje kujiendesha kama nchi kamili nje ya Muungano.

2.Niwajuze wazanzibar wenzangu kelele na manung'uniko yetu yamewaamsha watanganyika sasa wako mbioni kupata nchi yao nje ya muungano.wao wamejipanga tayari kwa hilo.

3.Ndugu zangu wazanzibar kama tulikua tunafanya utani wenzetu wapo serious,kiuchumi,kisiasa.
Wamejiimarisha ktk nyanja nyingi muhimu kama nchi.JE sisi tumejiandaaje!

Rai yangu kwenu mdundo huu wa kuvunja muungano usituleweshe naona mwisho wake tutakuja kuwapigia magoti watanganyika turudiane kuungana.

Upepo wa mabadiko
Upepo wa kisiasa
Lazima tuangalie tuna vyuo vikuu,vyanzo vya mapato zanzibar,ajira,n.k
Malalamiko na manung'uniko yasio na tija hayafai.


Naona mmesafirisha Vifaru kutoka Tanganyika na magari ya kijeshi kwa ajili ya miaka 50 ya Mapinduzi...........
 
kwani mwanaume kwenye ndoa huwa anafaidika nini toka kwa mke wake!

Ndoa haiwi ndoa bila tendo la ndoa. Gubu likizidi hamu ya tendo la ndoa inakwisha hivyo dhana nzima ya ndoa inapotea hivyo ndoa haipo tena. Hivyo, kwa ufupi hakuna chochote Tanganyika inachofaidika nacho kutokana na Muungano hata hiyo ndoa uliyotaka kutuaminisha haipo! Nitajie hata jambo moja ambalo Tanganyika inafaidika nalo kutokana Zanzibar.
 
Naona mmesafirisha Vifaru kutoka Tanganyika na magari ya kijeshi kwa ajili ya miaka 50 ya Mapinduzi...........

Hicho kifaru kimoja sijui hata kama wanajua bei yake sembuse huo utitiri wa magari ya deraya na madege ya kijeshi. Sijui kama wanajua thamani ya kisiwa cha Witu na Chumbwini kwa pamoja hununui kifaru! Jasho la mTanganyika hilo linatumika ndivyo sivyo!
 
Hicho kifaru kimoja sijui hata kama wanajua bei yake sembuse huo utitiri wa magari ya deraya na madege ya kijeshi. Sijui kama wanajua thamani ya kisiwa cha Witu na Chumbwini kwa pamoja hununui kifaru! Jasho la mTanganyika hilo linatumika ndivyo sivyo!

Ndio hivyo inaonekana wanaomba wasichokijua.

Maana mpaka gwaride litapigwa na Watanganyika........
 
Mleta hii thread sijui alikuw amekaa sehemu gani lakini nataka nimkosoe hapo anaposema "tutaununua" namwambia Muungano hauuzwi dukani wala sokoni.
Ukiisha vunjika baasi. Tanganyika sasa wamejua kumbe Wazenji hawana shukrani kabisa. Tumewabeba mgongoni kwa mbeleko, tumewastahi hata pale mlipo taapikia mabegani mwetu. Sasa mnaleta jeuri?? Ama kweli hii ni ndama jeuri. Mfugaji yeyote anajua, ukiinywesha ndama maziwa mengi, hukuburuta chini uendapo kuifunga.
Zanziba haitoshi wilaya ya Temeke, haikuwa na chochote ila karafuu, leo kwa fedha yetu mnajitafutia mafuta, kuona dalili tu tayari mmejiona Quatar? Ama kweli, masikini akipata... hulia mbwataa.
Nendeni zenu tu, ila muwangojee hao waliojipatia mashamba na viwanja na vijibiashara huku bara. Sio utani, siku nikishika dola, hao ndio wa kwanza kufukuza huku kwetu. Tena waache hapa vyote. Mwl. aliwapa nini walowezi? Mugabe aliwapa nini? Tegemeeni hayo hayo mkakamuane huko huko
 
Katiba mpya imetoka na neno Tanganyika sasa mnasuasua, mmeona we mean business.

Well, too late now, we've had this conversation for eons, not anymore, just go your merry way, please, tumechoka kuwabeba, to hell na Zanzibar yenu.

Kaanzisheni Taifa lenu, mjiunge IOC, mpitishe sheria za uhamiaji za kudhibiti Watanganyika kuingia Zanzibar ku corrupt the moral values of Zanzibari children na kuchukua kazi zenu kwenye utalii, mpitishe sheria za kupiga marufuku kuuza na kunywa pombe, kuvaa vimini, milegezo, bikini na jeans, ili kusiwe na haja ya kumwagiana tindikali kwa ajili ya mavazi.

To hell with that good-for-nothing, grungy little island.
 
Ndugu zangu ambao si wazanzibar mnaochangia uzi huu tafadhalini nawaomba kwa lugha laini mnisaidie kuwaelimisha wazanzibar wenzangu umuhimu wa huu Muungano tulionao kwetu sisi kama wazanzibar pia kama nchi.
 
Baada ya Wabara kuondoka CUF wanachukue Pemba yao na Unguja inabaki ndipo mtaanza kuongelea muungano wetu wa Pemba na Unguja na kuomba kurudi bara .Najua hamtaamini ila ngojeeni muone .Siku zote mlifanya utani sasa kazi kwenu .Hakuna wabunge wenu kuja huku .Ndiyo watajua Tanganyika iliwabeba.
 
Hapo kwenye bluu; let's be serious, Muungano ulizaliwa not more than three months baada ya Mapinduzi. Hii inamaanisha kwamba Zanzibar iliwahi kusimama yenyewe kama taifa huru (nje ya Muungano) kwa kipindi kisichozidi miezi mitatu tu! Kabla ya hapo Mamlaka ya Zanzibar yalikuwa chini ya Mkoloni (mwarabu) tangu 1840 - 12th Jan. 1964 yaani kwa miaka 124.

Hivyo, kusema kwamba "kabla ya muungano" Zanzibar iliishije; jibu ni rahisi; YALIKUWA MAISHA YA UKOLONI WA KIARABU, labda ndio aina ya maisha wengine mnayotamani kuishi. Vinginevyo nakubaliana na mleta mada kwamba nje ya Muungano Zanzibar inatakiwa "kuanza upya" kwani kabla ya hapo Zanzibar kama taifa huru "haikuwahi kuwa na chochote" na sio kutuletea majibu mepesi na ya kijinga eti "kabla ya muungano ilikuwaje" kana kwamba Muungano ulikuja muda mrefu baada ya Zanzibar kuwa taifa huru!

huu ni ujinga au nini? hivi tanganyika kabla haijapata Uhuru ilikuwa inaishi vipi? ilikuwa nanini? anzibar ilikuwa bora. Tanganyika iweze pamoja na kututawala Zanzibar isiweze kujitawala. Kasumba.
Uelewe Zanzibar ilipata Uhuru wake kutoka Mwingereza (rejea) kutoka mwingereza na siku ya Uhuru zanzibar ilisita kuwa Protectorate kama Kwa Tanganyika kuwa kolon lake

KLabla ya uhuru kulikuwa na vyama vikipigania Uhuru na katika hivyo vilituonya kama tuta fursa kutawala Zanzibar watatuuza kwa Tanganyika. na haya ndio yaliotokea. Kama ASP walikuwa haawezi kutawala Zanzibar kwa nini walipindua? Si wangemwachia Mohammed Shamte kuiongoza nchi. Kutuwaambia kuwa Zanzibar hatuwezi kuendesha nchi yetu ni tusi. Ni tusi kwa Mapinduzi na tusi kwa waasisi wa ASP na hasa Shirazi Association. Kumbukuka kuwa Shirazi Association ni chama cha akina Thabit Kombo,ameir Tajo na mohd Shamte
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom