Wazanzibar muungano tutaununua...

Wazanzibar muungano tutaununua...

Status
Not open for further replies.
Nikumbushe ni Kafir gani vilealimuuaMh. Karume? Oh dear me, inonyesha jinsi mlivyo waongo, kama mlioweza muua mtu aliyewaletea maendeleokwa kipindi kifupi hivyo you can do anything ninyi anything!
Yani hapa tunabishana na wasiojitambua,hawajijui wao ndio makafir wakubwa
 
Nikuulize mipaka ya Tanzania bara na Tanganyika ni tofauti. Acha ubabaishaji tunaitakla nchi yetu kwa jina lolote lile hiyo ndiyo issue na tuko serious.

ww ni mbabaifu ndo mana identity yk huijuwi unataka kuendelea kuwa mtumwa., Tanganyika ndio nchi yenu ndio utambulisho wenu ndio taifa lenu, leo utakubaliana vipi na tanzania bara., hili neno Tanzania lilitokana kwa kushare heru 3 kule zanzibar na na 3 kutoka tanganyika., itakuwaje litumike upande mmoja? shule hukuenda lakin ata akili na nadharia ya kawaida huna.,
 
Angalau umekiri "kipindi kile" hamkuweza kujisimamia kama nchi na hilo halina ubishi. Lakini tatizo linakuja pale ambapo baadhi yenu hamuishi kuitukana Tanganyika kila uchao pamoja na fadhila zote mlizotendewa. Chini ya mbingu ni mahali gani ambapo mZanzibari anaishi kwa uhuru tena bila nyaraka zozote za uraia kama Tanganyika? Ni wapi anapoweza kumili rasilimali zikiwamo ardhi, biashara, na nafasi nyingine za ajira kama Tanganyika?

Ni wapi pengine mZanzibari anaweza kuwa hadi Rais wa nchi, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Waziri, mbunge, na nafasi nyingine lukuki za uongozi kama Tanganyika? Ni Uarabuni? Ulaya? Marekani? Uchina? Ushelisheli? Labda Mzee Barubaru atatuhadithia huko Oman aliko ana nafasi gani ya uongozi wa nchi ile ya kufikia. Au ni wapi Afrika ambako hilo linaweza kutokea? Hiyo nchi haipo na haitakaa iwepo baada ya Muungano huu ambao kimsingi umefikia "point of no return".

Nakubaliana na wewe kwamba mtoto akikua anastahili kuachwa ajitegemee; sawa, ila kinachokera ni jinsi mtoto huyu mpu.mba.vu tena wa kufikia asivyo na adabu kwa mzazi wake aliyemlea kwa jasho na damu. Kama wewe una dini naamini unajua dini zinasemaje kuhusu mtoto wa aina hii! Laana i miguuni pake!
gombesugu, wabara
 
Last edited by a moderator:
Nikuulize mipaka ya Tanzania bara na Tanganyika ni tofauti. Acha ubabaishaji tunaitakla nchi yetu kwa jina lolote lile hiyo ndiyo issue na tuko serious.

Ndio Tofauti, Kwani visiwa vya Mafia, Kilwa Kisiwani, Songosongo, Nyuni, Kibaazi na Ukerewe viko Zanzibar au sio? Teh teh teh
 
Heeeee! mavamizi hayo si ndio mnaita Mapinduzi? Kwani leo wewe huadhimishi mapinduzi.
Seif kasema Rais wa PILI WA ZNZ( Wakwanza ni Okelllo) alileta mapinduzi kuwakomboa wznz, wewe unasemaje maana Seif ndiye mznz kindaki ndaki

Huyo Okello alikuwa na jeuri gani wakati aliitwa kwa malengo maalumu na akataka kujisahau na kupoka madaraka kwa sababu ndiyo khulka za .......?!

Ikawaje tena mwisho wake Okello ama ndo akaenda kukalia KITI Magogoni/ Migombani?
 
Hapo kwenye ajira make huku kwetu wazanzibar hadi muhukuru wapo huko jeshini usiseme poli ndo kabisa achana na wafanyabiashara pale kaliakoo kila nyumba ya mpemba sijui shauti yenu sisi tunalima mahindi na ardi kipo galiishi kesho wa keshokutwa
 
umevurugwa mwenzetu umevurugwa!!!wala hatukushangai kubagua wakristo coz mna roho mbaya ndio maana alshabaab nyie boko haramu nyie,alkaida nyieeeee,wakristo tumezoea amani,nendeni na zanzibar yenu msizidi kututia shombo!elimu ya madrasa ni shidraaaaa


Wazanzibar wanachotaka ni Zanzibar huru na yenye Mamlaka kamili, na kama pana haja ya Muungano basi yanazungumzika hayo pia kwa tatibu zake,

Shida iwapi mwanakike weye?

Pana post nimeona mmoya asema; leo mwana tumemlea wenyewe halafu kakua aanza visa!

Suali: Alikujia kumutaka malezi ama ulimlali ili kumpoka Uhuru wake kwa mgongo wa Muungano ati tuungane maana utajavamiwa nawe ungali mdogo?!

Jifunze basi hata kunyambua mambo wajitia aibu....!

Jilo alodanganywa aliliona mapema na ndo akaanzisha kauli mwenyewe kuwa ("MUUNGANO NI KAMA KOTI LIKIKUBANA LIVUE"),


Na kwa taarifa yako hakuna Muislaamu amchukiaye asiyekuwa Muislaamu, na usiseme mkiristo ili uone kane ukristo ni vita dhidi ya Waislaam,
Bali pana hata wale jews ambao ndo huyo mkiristo mwenyewe atambua hapendwi naye dhaahir shaahir,

Sasa kinachotokea ni hao wajionao ati wakubwa kutaka kuwaonea wale ati wawaitao Wadogo/Mkoa,
Na shida kubwa ni pale hao wadogo kwa muono wako wakianza kupinga udhwaalimu na kwasababu 99.9% ni Waislaamu hipigwa vita sasa Waislaamu na kwa hapo ndo MUISLAAMU haezi kubali maana kakatazwa kudhulumu wala kudhulumia hasa katika kama haya,

Shukuru hata rohoni maana nimekupa pa kutuliza fikara zako, lakini huenda ukaona pia ni ----- nimekupakaza.
 
Mada nzuri, ila kwa upande wangu naona zanzibar bado haijakamilika kuwa dola huru kwa sasa, nahisi umuhimu wa muungano hawawezi kuuona mpaka hapo watakapojitoa ndo watabaini mapungufu makubwa ya zanzibar iliyo kamili, angalizo sipo upande wa kulazimisha muungano uendelee ila ni maono binafsi na muda ambao wazenji wanalalama wangetumia kuandaa na kujipanga kikamilifu na maisha nje ya muungano. Nawasilisha.
Ni kweli ,refer South Sudan na yanayoendlea sasa!
 
Ni kweli ,refer South Sudan na yanayoendlea sasa!

Kwa hisani yako nisaidie, ili muda uwe tayari nipe mambo gani yatakiwa yawepo?

Halafu huoni hoja za hoyo ulomuunga mkono ni sawa na zile za mabandiko ya serikali kuwa twatangaza nafasi za kazi lakini sharti AWE NA UZOEFU WA MIAKA .... .....?

Lakini kumbuka tofauti ya Uhuru hapo ni MIAKA MITATU(3), na kazi zote zimefanywa kwa pamoja baina ya Sirikali zote mbili,

Bado, bado, bado hadi lini au pana nini hadi iwe tayari?!
 
Kwa hisani yako nisaidie, ili muda uwe tayari nipe mambo gani yatakiwa yawepo?

Halafu huoni hoja za hoyo ulomuunga mkono ni sawa na zile za mabandiko ya serikali kuwa twatangaza nafasi za kazi lakini sharti AWE NA UZOEFU WA MIAKA .... .....?

Lakini kumbuka tofauti ya Uhuru hapo ni MIAKA MITATU(3), na kazi zote zimefanywa kwa pamoja baina ya Sirikali zote mbili,

Bado, bado, bado hadi lini au pana nini hadi iwe tayari?!
Hofu yangu suala zima limekaa kisiasa mno tena kwa wachache kuliko mahitaji ya mtu wa kawaida ambapo tuko kiuchumi zaidi,tafakari hakuna msuguano kati ya mwananchi wa kawaida wa Znz na Tngk bali misuguano tena ya kitawala kati wanasiasa wa pande zote mbili wakituaminisha wale wanayo yaamini wao huku wakiwa na ajenda zao za siri!
 
Pengine hukunielewa.
Najua Zanzibar ni Nchi fika, na ndivyo waZanzibari wengi wanavyotaka nadhani.

Tunachosema waTanganyika, ukiwa nchi usiwe tegemezi basi, tusiwalipie mishahara wafantyakazi wenu wala kuwalipia bili za umeme-inabidi mjitegemee.
Na ndio maana Tanganyika yetu tumesituka, tumewabeba siku nyingi mno-mjitegemee.
Tunasapoti serikali tatu ili kila nchi ijitegemee.

Hatujawahi kuwa wategemezi kwani hadi sasa hakuna uhakika wa mapato yanayodaiwa kuwa yanakusanywa na Muungano kweli yanahalalisha matumizi mnayotubebsha kwa shughuli ambazo hazituhusu> Gharama kama za majeshi hazituhusu sisi hata kidogo, tunahitaji kiwango kidogo cha mapolisi kwani tayari tuna askari wetu, elimu ya juu sanasana tutatowa wanafunzi 500 kwa mwaka kwenye jumuia ya wanafunzi 70,000. Ukienda mambo ya nje Wazanzibari wote ni 12 kati ya zaidi ya 1000 wa Tanganyika. Umeme mpaka sasa unabidi ujiulize ni wa nani, iwapo Tanganyika haipo?
Angalia sasa makusanyo,TRA hukusanya mapato yote ya Bandarini, viwanja vya ndege na kila sehemu itayotowa mapato. Ukija bahari kuu, Tanganyika haina eneo kubwa lakini wanakusanya rasilimali za sehemu ya Zanzibar,

Ukifika hapo ndio unapoweza kujuwa kuwa Zanzibar inaweza kujiendeleza wenyewe bila matatizo yoyote.
 
Hofu yangu suala zima limekaa kisiasa mno tena kwa wachache kuliko mahitaji ya mtu wa kawaida ambapo tuko kiuchumi zaidi,tafakari hakuna msuguano kati ya mwananchi wa kawaida wa Znz na Tngk bali misuguano tena ya kitawala kati wanasiasa wa pande zote mbili wakituaminisha wale wanayo yaamini wao huku wakiwa na ajenda zao za siri!


Hilo kwa Tanganyika mmeliweza?

Kisha kumbuka tena, chama kinachotawala Bara ndo kitawalacho Zanzibar, japo Zanzibar wamefanya muungano,

Kikubwa zaidi waachwe huru no addition,

Na kigezo cha utawala si huja kubwa kiasi hicho kwa watu walo wangi wenye lengo moya,
Kwani watawala na watawaliwa wengi ni wepi?

Bila ya shaka Wataliwa ni wangi, sasa wakiamua lao kwa NIA hawatolifikia lao lengo?
Kizuri kwa wale Wazanzibar wanasikizana sana kulikoni Tanganyika, sitakisema kuwa hawa Watanganyika hawana hofu ya Mungu ila pia inaeza husu,

Mfano ni pale DODOMA waamuapo jambo la Maslahi ya Wazanzibar wanamaanisha na kwa vitendo hufanyika,
Twafahamu uzuri na hakiika kuwa pana makosa ya mtu mmoya mmoya,

Lakini kwa kiongozi kuwa na sifa za udhulumati vipi ahisanike?

Je, hapa Bara kwetu pako hivyo na kama sivyo kwanini?
 
Hizi kelele za bara kuionea zbar zinatupa NURU ya kuandaa katiba NZURI ya nchi yetu pendwa TANGANYIKA kwa maslahi ya WATANGANYIKA.
 
Mada nzuri, ila kwa upande wangu naona zanzibar bado haijakamilika kuwa dola huru kwa sasa, nahisi umuhimu wa muungano hawawezi kuuona mpaka hapo watakapojitoa ndo watabaini mapungufu makubwa ya zanzibar iliyo kamili, angalizo sipo upande wa kulazimisha muungano uendelee ila ni maono binafsi na muda ambao wazenji wanalalama wangetumia kuandaa na kujipanga kikamilifu na maisha nje ya muungano. Nawasilisha.

siku laumu sana kwa maoni yako pengeni hukupata kuijuwa zanzibar kabla: kwa ufupi ni kwamba before union zanzibar ilikuwa nchi huru na mamlaka yk na ikijendesha wenyewe kwa uchumi wake., ilikuwa na bendera, wimbo wa taifa watoto walikuwa wanaimba mashuleni pia ilikuwa na currency yake.

baada ya siku chache nyerere alimshawish karume kuungana karume alikubali kwa vile bado zanzibar ilikuwa ni nchi changa., lakin baada ya hapo kumbe nyerere alikuwa na mtazamo mwengine kwa zanzibar ambayo ilikuwa ni kuitawala kijanja ilifika mda karume aligundua hilo ndipo walipompiga risasi kumuua. kutoka hapo ilikuwa ukiutaja muungano ni uhaini kwa sababu tayari walishabalisha na kuongeza vifungu vya muungano ili kuinyanyasa zanzibar ambavyo ndo sasaivi wazanzibar wna complain.

lakini yote 9 kumi zanzibar inaweza kuishi na exist kama nchi bila muungano kwa asilimia 100 mana kipindi chote hicho cha muungano hakuna jambo hata moja ambalo lime boost uchumi wa zanzibar kupitia muungano zaidi ya Tanganyika kupitia muungano kuinyonya zanzibar.

Zanzibar ina rasilimali nyingi sana ambazo kwa uchumi wa zanzibar inatosha kabisa na watu wake zaidi kuliko hapo kabla., ndo mbali saivi kuna hiyo gas na mafuta ambayo tanganyika wanayanyemelea kupitia muungano.

asikudanganye mtu kikwazo kikikubwa kinachoifanya zanzibar kutokuwa na mamlaka yk ni Tanganyika hawataki mana wamezoea kuutumia uchumi wa zanzibar kwa asilimia kubwa kujinufaisha wao., Nyerere ameandaa mazingira insach away Zanzibar hawana kauli bila kupata go ahear kutoka Tanganyika. Zanzibar ina uwezo mkubwa ata kuliko hawo tanganyika ambao sasa ndio koloni wa visiwa vya zanzibar.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom