Dangote Jr
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,944
- 8,508
ila ukikaa ukawaza vzur utagundua kweli africa tyupo mwitun yaanMuda huo bado hujachelewa,,,kila MTU anakwenda ulaya kwa lengo lake,,,,umri huo wa 40 ukilieleza vzr baada ya miaka 2 unapata uraia,,,,je ukiwa n passport ya ulaya huoni kama ni fursa?unaweza ukaja kuendelea na maisha mengine hapa bongo lakini ukitaka kwenda ulaya ni ticket yako tu...unakwea mwewe,,,upo Spain,,au Belgium,, Au Italy,,au Sweden,, Austria,,, unakaa week unarudi bongo,, huku ukiendelea kupokea euro 800 kama raia kila mwezi zinaingizwa na serikali ktk acc yako..usione watu wanaohangaika na kuitafuta ulaya,,,hapa Africa ni kama tupo mwituni mkuu,,,...wale Wanyama wakali ndy wanaotamba,,,,lakini hakuna usawa mkuu...wenzetu wana usawa na haki...
watawala ndo miungu watu...wanaweza kufanya lolote linalowajia akilin yan wanaweza sema hata watu watembee uchi na asiwepo wa kubisha
wakigundua mtu n tajir utawaskia "tunachunguza chanzo cha utajiri wako" akat kuna maskin lukuki na hakuna aaechunguza chazo cha umaskin wao
yaan bongo daaaah
stay home na ulee hao vijana. BTW hongera sana, nimeona contemporary moja matata sana, mwanamke jabali.