Wazamiaji wa miaka ya 90


Nikienda Zenji urahis naupataje mkuu?
 
Nakumbuka kulikua na ishu ya penpal..au penfriend...hhaa nilikua na penpal mtu na mkewe hawanaga mtoi..basi nikajieleza balaa kwa dingi haelewi somo...dah! Those yrs ..sio vitoto vyw miaka hii havina hata mawazo hayo
Aisee umenikumbusha mbali..dah "Pen pall" maisha yanaenda kasi sana..kipindi hicho tamthilia tunaangalia days of our lives.
 

Mkuu ni nchi gani wanatoa hela bure hivi kwa mwezi? Tena Euro 800?
 
Ukiwakuta Europe au USA anadharua sana wanajiona wao sio waafrica
 
Kupata makaratasi ni Bahati mkuu mm Mjomba yupo Greece amepata kama msomali
 
Kupata makaratasi ni Bahati mkuu mm Mjomba yupo Greece amepata kama msomali
Ni kweli mkuu,,,,hata mm nilikimbia sababu hyo,,,,system yao ya interview haipo sawa pale,,,lakini mwaka 2014 UN ilitoa amri border zote ziwe free,,na migrants wote wa Greece waachwe waende wanapopataka,,,ndni ya mwezi mmoja,,then ziwe tight tena,,,basi hapo ndy migrants wengi walikimbilia ulaya zingine mfano Italy ,,German,, Austria,, nk..maana Greece ilizidiwa na migrants ambao walikuwa wnaingia maelfu kutoka Turkey,,, kwa njia za baharini na inchi kavu,, ,I was among migrants,, who crossed from Turkey to Greece in 2011….nilikuwa na karatasi za awali za kisomali pia maana kipindi hicho ilikuwa ndy rahisi kupata karatasi kama Somali au Burundi ..,,,lakini nilishindwa kusubiri nikarudi bongo...hivyo mkuu kama huna bahati za karatasi basi mambo mengi yatakuwia vigumu..
 
Ndivyo walivyo,,,ndy maana wanawake zao watu wanawapekecha haswa...huko Turkey na Greece ndy mapoozeo hao,,,mwanamke mweusi tii ni zaidi ya dhahabu..
Ukiwakuta Europe au USA anadharua sana wanajiona wao sio waafrica
 
Mkuu inchi zinazotoa allowance kubwa kwa raia wake kwa mwezi ni France,,,Italy,,Belgium,, Finland,,Denmark,, Austria,, zingine nimesahau,, ila mfano France,,,ukiwa unafanya kazi unakatwa pesa Fulani kwa mwezi ,,,kwa ajili ya kusaidia kuwalipa wale ambo hawana kazi,,,ukiwa si mfanyakazi wanakula euro 800,,,na wale wanafanya kazi wakistaafu wanakula euro 1300 kwa mwezi,,France wana benefit nyingi sn kwa raia wake,,,mfano ukiwa na mtoto anapewa euro 300 kila mtoto kwa mwezi,,,back to schools,,,kila family itapokea euro 400 kwa kila mtoto kwa ajili ya mtoto kurudi shule,,,,family inapoamua kuhama makazi family itapokea euro 900 kusaidia kuhama kwa watoto 3,,,na ni watoto kuanzia 0 aged to under 20 ,,,mfano mfaransa akiwa jela,,,,atalipwa euro 20 ndani za kujikimu kila mwezi,,, na miezi sita kablahajatoka anaandaliwa mazingira ya kazi huko nje na anaandaliwa nyumba mpya na kodi ya miezi 3 analipiwa akitoka anafikia kwenye nyumba hiyo kama Hana pa kwenda.....
Mkuu ni nchi gani wanatoa hela bure hivi kwa mwezi? Tena Euro 800?
 
Mkuu
Are u serious ?

Nachojua ulaya mashariki ni tofauti sana na Ulaya magharibi
Si kila inchi ulaya inalipa pesa,,,ndy maana watu wanatafuta inchi nzr ya kujipiga,,,ili upate benefit baadae,,,mfano,.France,, Belgium,, Italy,,Finland,,Denmark,, Austria,,Sweden,,Greece,,swiss,, nk..kila ichi ina benefit zake kwa raia zake,,huwa hazifanani...lakini hizo inchi zinatoa pesa kwa raia,,na hata migrants
 
Mkuu ungekomaa Saizi ungekuwa moja ya nchi za ulaya.
 
Hapa nimechukua maombi ya usiku,huwa yanatoboa hasa ukiwa na imani.
 
Sasa hivi wazungu wameshajuwa kama watu wanaoana sababu ya kutaka makaratasi yao,,,hivyo wanakuambia nenda mkafanye ndoa kwenu,,hivyo atakuja mzungu au yule unayetaka kumuoa muoane bongo,,,mpeleke details ubalozini,,hapo utaambiwa usibiri kama miezi sita au mwaka,,,,baadae una claim kumfata mumeo au mke,,, ipo story moja,,kuna jamaa yangu Fulani, yeye ni mtanzania,,,,alikwenda kuishi Sweden kama miaka 3 hakupata makaratasi,,akapata mwanamke mmoja wa kisomali mwenye makaratasi ya Sweden,,,wakawa wapenzi,,,huku yule jamaa bongo alikuwa na mke na watoto 3,,akamshawishi yule mwanamke wa kisomali waoane ili jamaa apate makaratasi,,, basi wakakubaliana waje hapa bongo waoane kimya kimya bila mkewe yule jamaa kujuwa,,,basi jamaa kule Sweden wakamtonya yule mke wa jamaa kwamba jamaa kaoa na anataka apate makaratasi,,,yule mke wa jamaa akaenda kuriport Sweden embassy in Tanzania,, kwamba mumewe kamtelekeza,,tena amekwenda na watoto kama 6 hivi na cheti cha ndoa,,jamaa bila kujuwa siku anakwenda ubalozini kupeleka details za ndoa,,wanamkuta yule mwanamke wa kitanzania na watoto wake 6 ubalozini,,, basi pale pale ndoa yake na msomali ikafa ,,na yule msomali akasepa,,,,,jamaa akajifanya kumsusa mke kwa miaka 2,,baadae Kamrudia,,,na hata kuhusu kufake mariage ,,,wanahitaji pesa si chini ya euro 5000 kutimiza hilo,,,.kama hamko ktk mahusiano...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…