Wazamiaji kiholela Afrika Kusini warudishwa

Hapa ndipo nawapenda wanigeria .Mhamiaji haramu mnigeria ukimpa repatriation ukagonga passport yake PI yaani prohibited immigrant kwenye akifika tu Nigeria airport anaenda immigration moja kwa moja anaenda jaza kuomba passport ingine kuwa hiyo Ina doa la kugongwa PI .Anapewa pole na kupewa passport ingine aendelee na safari zake za kusaka fursa kokote Duniani

Nigeria wameachia hivyo kupunguza tatizo la ajira nchini mwao .Sisi tukamaa na vitu vidogo Kama hivi
Wanigeria wanaoruhusiwa kwenda kutafuta maisha nje ya nchi serikali inakuwa imejiridhisha kuwa mtubhuyo ana uwezo ama wa elimu au wa kifedha. Sasa sisi hawa vijana waamiaji hata elimu, lugha ya kigeni (kiingereza) mtaji (hela) za kumuwezesha kupambana ughaibuni hawana! Mwisho wa siku kulihaibisha taifa
 
Hili somo la utafutaji kwa vijana wetu inawezekana tulipeleke mashuleni kuanzia darasa la tatu mpaka la saba na sekondari mpaka vyuo vikuu liwepo pia. Ni wakati sasa wa vijana kufundishwa maisha sio Tanzania au Mtwara na Mbeya pekee bali wanaweza kujitafutia maisha popote pale duniani kuanzia Afghanistan, Pakistan, China, Congo DRC, Israeli, Madagascar, Comoro, Yemen, USA, Norway, Brunei, Jamaica nk huko kila mahala kuna fursa zake twendeni tukahangaike tuzikomboe familia zetu na jamii ya Kitanzania kiujumla.
 
Kama Kuna ambao hawana passport Serikali iwape upesi bila masharti waendelee kutafuta fursa nje yena iwape chap chap hata bure
 
Wanigeria wanaoruhusiwa kwenda kutafuta maisha nje ya nchi serikali inakuwa imejiridhisha kuwa mtubhuyo ana uwezo ana was elimu au wa kifedha. Sasa sisi hawa vijana waamiaji hata elimu, lugha ya kigeni (kiingereza) mtaji (hela) za kumuwezesha kupambana ughaibuni hawana! Mwisho wa siku kulihaibisha taifa
Unaongea usilolijua toka lini Serikali ikawa mtoa visa wa kwenda nchi nyingine? Iwe Nigeria au yeyote? Aisee Hadi unatia huruma
 
Wanigeria wanaoruhusiwa kwenda kutafuta maisha nje ya nchi serikali inakuwa imejiridhisha kuwa mtubhuyo ana uwezo ana was elimu au wa kifedha. Sasa sisi hawa vijana waamiaji hata elimu, lugha ya kigeni (kiingereza) mtaji (hela) za kumuwezesha kupambana ughaibuni hawana! Mwisho wa siku kulihaibisha taifa

Ndio maana inatakiwa tuandae vijana wetu kwa kujenga mfumo utakaowafanya waishi popote duniani, Tunazungumzia basic education itakayoweza kumfanya mtu ajielewe, awe na ufahamu wa lugha kadhaa duniani hapa hasa kiingereza..

Mtaji sio lazima na si kweli Wanaijeria wote wanaozamia wanakuwa na mitaji, tofauti ya wanaijeria wengi wanaozamia na watanzania ni uelewa na elimu, Tambua pia Elimu Nigeria sio issue, majimbo yote ya vyuo vikuu na watu kusoma sio dili walio wengi wamekwenda shule.

Ukiwa mpambanaji mtaji sio muhimu, cha muhimu ni kufika uendako. Hata hapa Bongo watu wanatoka Kigoma wanazamia mpaka Dar hawana mitaji na wamefanikisha maisha..
 
Hii haijakaa sawa kabisa yaani waafika tunabaguana wenyewe kwa wenyewe daaah kweli mzungu ametuweza kututenganisha
 
Thumbs up!

South African authorities partnering with immigrants' governments are finally doing their jobs of addressing immigration woes through legal procedures including deportation of unwanted aliens.
 
Eee Bwana wee! Asante kwa taarifa Mshana Jr. Pongezi ziende kwa Rais Magufuli! Hawa jamaa walikuwa wanaishi huko SA maisha hatarishi ya kuidhalilisha nchi! Nawafahamu wengi walikuwa wanalala chini ya nguzo za barabara za juu (flyover) na kwenye makaravati wanaendesha maisha yanayodhalilisha utu na taifa letu. Hata nauli ya kurudi walikuwa hawana hata kurudi hawataki kwasababu ya aibu na kuingia SA kinyume cha utaratibu. Vijana komaa nchini mwenu! Haya mambo ya kuzamia nchi za watu bila utaratibu matokeo yake haya!
South Africa hakuna makaravati.wala hakuna mitaro.vyote vinapita chini ya ardhi. Sasa ulitaka kumaanisha nini?na kuhusu kulala chini ya flyover....je unajua kama chini ya flyover kuna barabara nyingine inapita tena ni highway hakuna kusimama???uliza uambiwe mzee baba.hawa jamaa wanalala nje ya maduka na chini ya madaraja.over

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila wanaonekana wameoga wametakata, they don't look like chokoraa
Jela za wenzetu wanakula bure na kulala bure tena wafungwa wa immigration hawafanyi kazi yoyote wao wanaamka wanahesabiwa wanakula kisha wanapiga soga weee wakienea idadi kubwa wanarudishwa kwao.wengine wamekaa jela karibia miezi nane mpaka mwaka.wasipendeze mchezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waafrika kusini tuliwalisha bure na damu zetu tikachanga kuwapigania Uhuru Leo wanaturudushia watu wetu pumbafu kabisa
Umezamia kiholela, umevunja sheria,utarudishwa tu....Mtanzania hahitaji visa kuingia Afrika kusini... Ila inabidi ufuate taratibu.
 
Back
Top Bottom