Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 4,160
- 11,483
Wanigeria wanaoruhusiwa kwenda kutafuta maisha nje ya nchi serikali inakuwa imejiridhisha kuwa mtubhuyo ana uwezo ama wa elimu au wa kifedha. Sasa sisi hawa vijana waamiaji hata elimu, lugha ya kigeni (kiingereza) mtaji (hela) za kumuwezesha kupambana ughaibuni hawana! Mwisho wa siku kulihaibisha taifaHapa ndipo nawapenda wanigeria .Mhamiaji haramu mnigeria ukimpa repatriation ukagonga passport yake PI yaani prohibited immigrant kwenye akifika tu Nigeria airport anaenda immigration moja kwa moja anaenda jaza kuomba passport ingine kuwa hiyo Ina doa la kugongwa PI .Anapewa pole na kupewa passport ingine aendelee na safari zake za kusaka fursa kokote Duniani
Nigeria wameachia hivyo kupunguza tatizo la ajira nchini mwao .Sisi tukamaa na vitu vidogo Kama hivi