Wazalendo wenzangu jamani 7/7 imekaribia

Wazalendo wenzangu jamani 7/7 imekaribia

Ili mrushe picha za innocent victims kwenye mitandao while mnakula alawanzi za kuchochea vurugu sio?

Enough is enough
Ndio, hata ww ukitaka kutokea kwenye picha unakaribishwa.
 
Mtaua wengi na kuvunja hivyo vibofu uvya watu ila hakika nanyi moto wa jehanamu unawasubiri. Nanyi pia kuzimu ya mateso ndio utakuwa makao yenu milele
Yaani mtu akutese duniani halafu wewe unasubiri malipo jehanamu, hizo ni akili kweli?
 
Tena sahivi kuna Polisi wapya wanapewa Ajira waliohitimu juzi hapo CCP, wana hamu ya kutumia bunduki hatariiii.

Sumu haionjwi Waja. Ooooh
 
Hivi kwa nini mnataka kutuaminisha kuwa maandamano ni dhambi, ni jinai. Anyway katika ukombozi wowote lazima kuna watu watakata tamaa na kuwavunja wengine moyo.
Lakini viongozi wa CCM lazima watambue Tanzania sio mali yao wala hawakuumbwa kutawala. Tanzania ni yetu sote na kamwe hatutambembeleza ama kumuomba mtu haki yetu.
Babu zetu wangekuwa kama baadhi yetu humu hadi leo tungekuwa tunatawaliwa na wakoloni.
tutawamiss sana humu.
 
Tena sahivi kuna Polisi wapya wanapewa Ajira waliohitimu juzi hapo CCP, wana hamu ya kutumia bunduki hatariiii.

Sumu haionjwi Waja. Ooooh
kwani hawatakuwa na silaha nyingine tofauti na bunduki ?
 
Hivi kwa nini mnataka kutuaminisha kuwa maandamano ni dhambi, ni jinai. Anyway katika ukombozi wowote lazima kuna watu watakata tamaa na kuwavunja wengine moyo.
Lakini viongozi wa CCM lazima watambue Tanzania sio mali yao wala hawakuumbwa kutawala. Tanzania ni yetu sote na kamwe hatutambembeleza ama kumuomba mtu haki yetu.
Babu zetu wangekuwa kama baadhi yetu humu hadi leo tungekuwa tunatawaliwa na wakoloni.
acha kuwaingiza wenzako chaka halafu wewe umejifungia ndani,,,, Kwenda kupigania watanganyika wasiojielewa ni uwendawazimu..
 
October 29 wanasiasa na wanaharakati wote walikuwa wamejificha na wengine waliondoka nchini. Vijana wamekufa wamerudi na kauli mbiu WATU WASIOKUWA NA HATIA WAMEULIWA. Mchongo ungetiki kauli mbiu ingekuwa MASHUJAA WAMEIKOMBOA NCHI.

Hizi harakati zote mtu wa kwanza kunufaika nazo ni mwanasiasa, Yani kabla wewe hujapata katiba mpya na hujapata tume huru ya uchaguzi yeye atakuwa amenufaika kwanza kupata mamlaka makubwa ya kisiasa, mshahara mzuri, ulinzi, posho mlima na uhakika wa mambo mengine mengi.

Hawa watu wanapaswa kuwa msitari wa mbele kwenye haya maandamano, wao ndio wanufaika wakubwa wa hizi harakati. Mwananchi hadi upate unafuu wa kupata ajira, huduma za afya kwa gharama nafuu, elimu Bora ni hadi huyu Heche akae madarakani miaka mitatu hadi mitano ndipo atakuwa na uwezo wa kukupa hivyo vitu, ila yeye atakuwa kanufaika na mengi sana kabla yako
Peleka upuuzi wako huko kenge wewe
 
Wazalendo wenzangu 7/7 imekaribia. Tuko tayari kwa maandamano. Ni natoa onyo kwa wale wanataka kuleta hofu. Lazima tuikomboe nchi yetu.
umetumwa we si bure ... haki zako ni mbili tu hapa duniani , kuzaliwa na kufa,, hizo zingine ni mbwembwe ambazo huna mamlaka nazo..
 
Back
Top Bottom