una tiketi ?Kabisa. Tunajua tunakokwenda ni wapi.
una tiketi ?Kabisa. Tunajua tunakokwenda ni wapi.
Wazalendo wenzangu 7/7 imekaribia. Tuko tayari kwa maandamano. Ni natoa onyo kwa wale wanataka kuleta hofu. Lazima tuikomboe nchi yetu.
Ninyi endeleeni kutenda uovu wenu. Na kama mnaamini Mungu yupo na siku ya hukumu ipo ni heri mngeacha mnachokifanya.Yaani mtu akutese duniani halafu wewe unasubiri malipo jehanamu, hizo ni akili kweli?
ninatubu na kuiamini InjiliNinyi endeleeni kutenda uovu wenu. Na kama mnaamini Mungu yupo na siku ya hukumu ipo ni heri mngeacha mnachokifanya.
Wewe unajulikana kuwa ni keyboard warrior, mbawahamasisha mabwege, wanawaamini kisha wanachezea risasi na nyie mnabaki tu kudai miili yao kwenye mtandaoChukua hii comment yakitokea maandamano yanaweza kuja kua makubwa zaidi ya October 29 rudia kusoma hii comment punguza kujilisha upepo kwamba haiwezekani kwa sasa inawezekana sana
Huyu Lord Denning atakuwa kapata kiharusi maana aliweka sana matarajio kwenye ile 29/10.Lord Denning sijui yupo wapi siku hizi
Hakuna wa kuandama hata mmoja msijazane ujingaWazalendo wenzangu 7/7 imekaribia. Tuko tayari kwa maandamano. Ni natoa onyo kwa wale wanataka kuleta hofu. Lazima tuikomboe nchi yetu.
Wazee tumeshaanza kupiga jalamba. Maandamano yatakuwa ya amani ya kuitoa CCM madarakani kwa amani . Lakini wakitaka kutumia nguvu kuzuia maandamano basi tutatumia nguvu na sisi.Hakuna wa kuandama hata mmoja msijazane ujinga