Wazalendo wenzangu jamani 7/7 imekaribia

Wazalendo wenzangu jamani 7/7 imekaribia

Hakuna mtu anakuogopesha, nimekumbusha tu wanasiasa wanaojipanga kuchukua nchi baada ya maandamano makubwa wawe sehemu ya haya maandamano, wawe sehemu ya haya mapambano, wasikimbie.

Ila kwakuwa naiona akili yako tayari Ina uoga, nikwambie tu RIP Mkuu 🤣🤣
Kwani maandamano ni dhambi? Hayakubaliki kwenye "kajikitabu" Katiba yenu?
 
October 29 wanasiasa na wanaharakati wote walikuwa wamejificha na wengine waliondoka nchini. Vijana wamekufa wamerudi na kauli mbiu WATU WASIOKUWA NA HATIA WAMEULIWA. Mchongo ungetiki kauli mbiu ingekuwa MASHUJAA WAMEIKOMBOA NCHI.

Hizi harakati zote mtu wa kwanza kunufaika nazo ni mwanasiasa, Yani kabla wewe hujapata katiba mpya na hujapata tume huru ya uchaguzi yeye atakuwa amenufaika kwanza kupata mamlaka makubwa ya kisiasa, mshahara mzuri, ulinzi, posho mlima na uhakika wa mambo mengine mengi.

Hawa watu wanapaswa kuwa msitari wa mbele kwenye haya maandamano, wao ndio wanufaika wakubwa wa hizi harakati. Mwananchi hadi upate unafuu wa kupata ajira, huduma za afya kwa gharama nafuu, elimu Bora ni hadi huyu Heche akae madarakani miaka mitatu hadi mitano ndipo atakuwa na uwezo wa kukupa hivyo vitu, ila yeye atakuwa kanufaika na mengi sana kabla yako
Kwani hata sasa wanaofaidika si ni wanasiasa? Ama wakifaidika wanasiasa wa ccm kwako sio tatizo?
 
Ahaaa ahaaa ahaaaaa ahaaaaaaa yaaani bado Tanzania bado kuna watu wanawaza ujinga wa kuandamana ? aiseee nawaonea huruma sana maana vichwa vitapasuka zaidi kuliko 29th October
 
Hivi kwa nini mnataka kutuaminisha kuwa maandamano ni dhambi, ni jinai. Anyway katika ukombozi wowote lazima kuna watu watakata tamaa na kuwavunja wengine moyo.
Lakini viongozi wa CCM lazima watambue Tanzania sio mali yao wala hawakuumbwa kutawala. Tanzania ni yetu sote na kamwe hatutambembeleza ama kumuomba mtu haki yetu.
Babu zetu wangekuwa kama baadhi yetu humu hadi leo tungekuwa tunatawaliwa na wakoloni.
yangekuwa ya amani sawa lakini wahuni wanakuwa majambazi
 
Wazalendo wenzangu jamani 7/7 imekaribia. Tuko tayari kwa maandamano. Ni na toa onyo kwa wale wanataka kuleta hofu. Lazima tuikomboe nchi yetu.
Mtaikomboa kwenye mtandao tu ila ule ujinga wa 29/10 haurudii tena.
 
Hata Kodi ulipi alafu unachongoa mdomo eti nchi yetu, we una nchi!!? Andamana tukuvunje kibofu chako iko.
Mtaua wengi na kuvunja hivyo vibofu vya watu ila hakika nanyi moto wa jehanamu unawasubiri. Nanyi pia kuzimu ya mateso ndio utakuwa makao yenu milele
 
Safari hii tunaandamana kwa amani ila sio kinyonge. Sasa wewe jidanganye1 Ni bora uwe sehemu ya mabadiliko utaishi salama kwa amani baada ya ukombozi
Umekaa huko kazi kuhamasisha tu, watoto wa wenzenu wanakufa nyinyi mnaendelea kuishi na familia zenu
 
Ahaaa ahaaa ahaaaaa ahaaaaaaa yaaani bado Tanzania bado kuna watu wanawaza ujinga wa kuandamana ? aiseee nawaonea huruma sana maana vichwa vitapasuka zaidi kuliko 29th October
Hawana ubavu wa kurudia Yale tena...hawawezi
Imewagharumu pakubwa pande zote.
Kwa Sasa upande mmoja ukiwa na ujasiri Kuna uwezekano wa kushinda.
 
Safari hii madogo wamejizatiti, hawataanzisha vurugu yoyote na watalindana wasiharibu mali za watu ila wakichokozwa watajibu kwa nguvu maradufu.
 
Tuikomboe nchi yetu, tarehe 7/7 tusipouze. Mimi ni lazima nitoke pamoja na kuwa na umri mrefu 60+
 
Back
Top Bottom