Wayahudi, Wafaransa na Wamoroko, du!

Bornvilla

JF-Expert Member
Feb 17, 2011
924
271
Hawa jamaa wanakula konokono.Wanachemsha na kunywa supu,kwakuwa konokono wapo kwenye vijumba wanatumia stiki(vijiti) wanachomoa na kutupia mdomoni. Yaani ukitafakari unaweza tapika! Makala ya watu hawa ilikuwa inaoneshwa Startv leo mchana.
 
mmh, kono kono na kaa kipi bora?,
nikikuambia Pweza anatia kinyaa hata kuona kuliko kono kono utabisha? Mbona hushangai wala panya na wala mbwa hapa hapa tanzania?, mbona haushangai wala popo na wala panzi (senene na nzige)?

Kwa taarifa yako hakuna kiumbe mwenye nyama asieliwa! Ila huwa nashangaa wala kuku maana ni kiumbe wa ajabu mwenye kichwa kibaya, mdomo mbaya na ana macho yasiyokua na ushirikiano kutazama! Hahah
 
mmh, kono kono na kaa kipi bora?,
nikikuambia Pweza anatia kinyaa hata kuona kuliko kono kono utabisha? Mbona hushangai wala panya na wala mbwa hapa hapa tanzania?, mbona haushangai wala popo na wala panzi (senene na nzige)?

Kwa taarifa yako hakuna kiumbe mwenye nyama asieliwa! Ila huwa nashangaa wala kuku maana ni kiumbe wa ajabu mwenye kichwa kibaya, mdomo mbaya na ana macho yasiyokua na ushirikiano kutazama! Hahah

Hahahaaaa! We,kina iwe watakuvamia kwa kutaja senene! Maana kwa Dar ni adimu ile mbaaya! Kuhusu mbwa na panya hapo utasababisha leo watu wasile nyama,kwa kinyaaa!
 
Hawa jamaa wanakula konokono.Wanachemsha na kunywa supu,kwakuwa konokono wapo kwenye vijumba wanatumia stiki(vijiti) wanachomoa na kutupia mdomoni. Yaani ukitafakari unaweza tapika! Makala ya watu hawa ilikuwa inaoneshwa Startv leo mchana.

Mhhhhhhhhhh...ntaona mwendelezo wa hii thread,..just read between lines then you will understand what i mean.
 
mmh, kono kono na kaa kipi bora?,
nikikuambia Pweza anatia kinyaa hata kuona kuliko kono kono utabisha? Mbona hushangai wala panya na wala mbwa hapa hapa tanzania?, mbona haushangai wala popo na wala panzi (senene na nzige)?

Kwa taarifa yako hakuna kiumbe mwenye nyama asieliwa! Ila huwa nashangaa wala kuku maana ni kiumbe wa ajabu mwenye kichwa kibaya, mdomo mbaya na ana macho yasiyokua na ushirikiano kutazama! Hahah

Mueleze kuwa watu wanakula ruba na mafunza ya kwenye magogo yalooza, itakuwa konokono!

Tena konokono mtamu kama nini with garlic source .............:A S-confused1:
 
Mchuzi wa Vitunguu Swaumu. Ndiyo maana midomo ya Wayahudi...... teteteteee....

garlic-2.jpg

Ndiyo nini hiyo?
 
Mnyamwezi na Paja la Chura wapi na wapi? Ufaransa kwenyewe sijafika maana naogopa kuhesabiwa kama Nig*a in Paris...

Matembele ya leo yamekolea kwelikweli, ngoja niwahi ugali na Samaki Kambale. Karibu sana Mami.
Alaaa kumbe!

Mami wewe ushawahi kula mapaja ya chura?
 
Vitu "tofauti" ambavyo nimesha kula:
- Konokono, frog leg, swallows nest, shark fin, farasi (restaurent)
- nyoka, mamba, wide viriety of caterpilars (dried or smoked)
including hao alio wataja Gaijin hapo juu (in local communities, kazini)

Mengine yanayo onekana ya kawaida kwetu ila yanachefua wageni:
- pweza, senene, mchwa na cricket (home)

Nilipewa ila nilishindwa kula:
- nyani, mbwa, paka, fukwe, panya wa kawaida/rat and mouse,
guinea pig, Panya buku/ field mouse, caterpilars (fresh)
 
Last edited by a moderator:
Vitu "tofauti" ambavyo nimesha kula:
- Konokono, frog leg, swallows nest, shark fin, farasi (restaurent)
- nyoka, mamba, wide viriety of caterpilars (dried or smoked)
including hao alio wataja Gaijin hapo juu (in local communities, kazini)

Mengine yanayo onekana ya kawaida kwetu ila yanachefua wageni:
- pweza, senene, mchwa na cricket (home)

Nilipewa ila nilishindwa kula:
- nyani, mbwa, paka, fukwe, panya wa kawaida/rat and mouse,
guinea pig, Panya buku/ field mouse, caterpilars (fresh)

Pezi la papa, nyangumi, mkunga, pweza, ngisi, kaa, mayai mabichi ya samaki na vyenginevyo vya pwani nishakula sana na kusema ukweli ninavipenda

Nyama ya farasi, ngamia, mamba, mbuni, njiwa, konokono, vijidudu vyenye mbawa......nimewahi lakini sina uzoefu navyo

Chura, nyoka, panya, paka, mbwa bado na nia sina lakini siapi, siku moja inaweza tokea
 
Kuna watu mbuzi wanawafuga kama pets na wakisikia sisi kwetu mbuzi ni bonge la kitoweo hawaamini na wanatuona tuko wakatili sana.

Kuna wakati mmoja nilienda vijijini (majuu) kutafuta mbuzi. Nikakutana na mdada mmoka akaniambia kwao wana mbuzi mmoja. Nikamwomba aniuzie akakataa akasema ni 'family pet'. Aliponiuliza kwa nini ninatafuta mbuzi, nikamwambia nataka nikamchinje halafu nimchome.

Bi dada wa watu almanusra azimie.
 
Kuna dada mmoja alikuja Bongo akaona kuku anavyochinjwa...laana la leo kuku hamli.
 
Kuna dada mmoja alikuja Bongo akaona kuku anavyochinjwa...laana la leo kuku hamli.
Nina rafiki wengi hawawezi kabisa kupika kuku akiwa mzima mzima, hata wale wa supermarket. Lazima wawe wamekatwa katwa ndio waweze kuwapika. Wanona huruma, wengine wanachefuka.
Mwanangu aliacha kabisa kula nyama ya n'gombe siku alielewa kua "beef" is just the name of the cow flesh. Aliona n'gombe nzima, alivo relate na burger au steak akachefuka na hadi leo hali kabisa nyama ya n'gombe (she saw that at 4, she is now 7).
(IMO) Cow=> Beef
sheep=> lamb or mutton
chiken => hen
pork => pig
are actually ways of making people feel comfortable eating "domestic" animals.
 
Pezi la papa, nyangumi, mkunga, pweza, ngisi, kaa, mayai mabichi ya samaki na vyenginevyo vya pwani nishakula sana na kusema ukweli ninavipenda

Nyama ya farasi, ngamia, mamba, mbuni, njiwa, konokono, vijidudu vyenye mbawa......nimewahi lakini sina uzoefu navyo

Chura, nyoka, panya, paka, mbwa bado na nia sina lakini siapi, siku moja inaweza tokea

Mimi huwa naamini ni jinsi tu mtu ambavyo mtu mawazo au akili yako unavyoiweka. Kama hujui unaweza kupewa steak ya twiga iliyowekewa marinade ya nguvu ukaila bila tatizo na hata kuongeza ingine ukaweza na wala kujua usijue.

Lakini pindi unapoambiwa kuwa hii nyama ni ya twiga na wewe ushazoea kuwa twiga haliwi basi hutaweza kuila kirahisi kama siyo kushindwa kabisa.

Ila ukweli wa mambo ni kwamba wengi wetu hatujui vitu tunavyokula ni nini hususan vile vya nyama nyama. Fikria burgers kwa mfano, ile nyama ya kusagwa mtu una uhakika gani kama kweli ni ya ng'ombe? Manake ikishawekewa ile mizagazaga sijui mi mayonaise, mustard, ketchup....mtu unajipinda kula hadi mishipa ya shingo inakutoka na ukimaliza unaanza kusifia jinsi burger ilivyokuwa tamu. Unajua kwa uhakika ulichokula ni nini?

So chances are wengi wetu tumeshakula vitu vingi tu ambavyo katika hali ya kawaida ya ufahamu huenda hatuwezi kuvila.
 
Kuna watu mbuzi wanawafuga kama pets na wakisikia sisi kwetu mbuzi ni bonge la kitoweo hawaamini na wanatuona tuko wakatili sana.

Kuna wakati mmoja nilienda vijijini (majuu) kutafuta mbuzi. Nikakutana na mdada mmoka akaniambia kwao wana mbuzi mmoja. Nikamwomba aniuzie akakataa akasema ni 'family pet'. Aliponiuliza kwa nini ninatafuta mbuzi, nikamwambia nataka nikamchinje halafu nimchome.

Bi dada wa watu almanusra azimie.
Sasa yeye anaona tunakosea, kula mnyama tulie "mzowea", sio?
bora sisi tuna heshimu vinyama. huko kwao farming is so cruel!
calfs wanazaliwa na kuchinjwa bila kutembea, kupreserve nyama iwe laini
wanapewa antibiotics ili wasipate magonjwa (because they live too confined)
yani kuku, n'gombe, nguruwe, kondoo, wanapakizwa midawa wakati hawaumwi!
Nikiangalia utaratibu wa farming ulaya naona ni bora mtu awe zake vegetarian
bora huku kwetu nakula kuku, nilimuona akitotoka, akikua, na hadi namla najua anatoka wapi!
Making Hay: Investigations
 
Sasa yeye anaona tunakosea, kula mnyama tulie "mzowea", sio?
bora sisi tuna heshimu vinyama. huko kwao farming is so cruel!
calfs wanazaliwa na kuchinjwa bila kutembea, kupreserve nyama iwe laini
wanapewa antibiotics ili wasipate magonjwa (because they live too confined)
yani kuku, n'gombe, nguruwe, kondoo, wanapakizwa midawa wakati hawaumwi!
Nikiangalia utaratibu wa farming ulaya naona ni bora mtu awe zake vegetarian
bora huku kwetu nakula kuku, nilimuona akitotoka, akikua, na hadi namla najua anatoka wapi!
Making Hay: Investigations

Wengine kitendo tu cha kumuua mnyama ili umle wanakiona ni kitendo cha kikatili.
 
Dah Kuna watu wametaja PWEZA hapa natamani kulogoff
nikapate supu yake, siku hizi anaitwa BOOSTER Wajanja
wanajua, si unaona wapemba wanavyozaliana? hiyo ndio kazi ya
Booster, hakuna kinyaa hapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom