Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,610
kwa hiyo tuwale wazima wazima?Wengine kitendo tu cha kumuua mnyama ili umle wanakiona ni kitendo cha kikatili.
Au tule nyamafu? Au tuwe vegans?
if so, hata matunda na mboga tusichume
tusubiri yale yanayo jiangukia naturally