titimunda
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 7,572
- 9,763
Pamoja mkuu,kula shada,stay high.Vuta Bangi usivute Bange.Karibu na uryumotony hukoo
Pamoja mkuu,kula shada,stay high.Vuta Bangi usivute Bange.Karibu na uryumotony hukoo
Kitu cha njombe bado sijakisampo aisee,ila juhudi zakukitafuta bado zinaendelea.Siku hizi kuna chaka jipya ambalo hata mkulu analikubali, ni kitu kutoka nyanda za juu kusini... Njombeeeeeeeeee
Vipishane kwa masaa kadhaa lakini maana kuchanganya hizi chemicals kwa wakati mmoja ni hatari kwa afya ya mwili na akiliEeenh
Na mm nakazia na pombe usiache endelea navyo vyote
True,ila Shida iko kwenye monde ndo haitakagi kombinenga,ganja hata kama una dozi ya typhod unaipiga fresh tu haina shidaVipishane kwa masaa kadhaa lakini maana kuchanganya hizi chemicals kwa wakati mmoja ni hatari kwa afya ya mwili na akili
Alafu ni dawa kwa wenye presha ya kupanda au kwa wale wazee wa kimoja chaliTrue,ila Shida iko kwenye monde ndo haitakagi kombinenga,ganja hata kama una dozi ya typhod unaipiga fresh tu haina shida
Inatibu kukosa usingizi,apetaiti ya kula,inatuliza maumivu ya kichwa,msongo wa mawazo,inasaidia wagonjwa wa kifafa kwa kupunguza idadi na intesity ya mianguko etc,huu mmea haukuja kimakosa.Alafu ni dawa kwa wenye presha ya kupanda au kwa wale wazee wa kimoja chali
Medication makes me high......
I love you Maryjane
Ngoma ya kusikilizia ukiwa unapata mmea hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hoii sandà gani hiyo umenyongea sijai ona Bob white ya kihivyo nipe darasa jooooh
Koh koh koh yaoo yaoooBwana kuna siku nilismoke nkaanza kujiuliza hivi sisi ambavyo hatuelewi wanyama wanapoongea je na wao wanatuelewa?
Jibu ikawa ni hapana, sasa swali likaja je wanatusikiaje??
Kwa nje kulikuwa kuna watu wanaongea nikaanza kutosikiliza maneno yao bali sauti tu zinazotoka midomoni mwao.
Dah nikawa nawaskia kama ng'ombe wanavyounguruma tu.
Yani kumbe kweli lugha ni masauti tu ya mdomoni tuliyoamua kuyapa maana.
Hiki kitu kwa akili ya kawaida huwezi kufanya, kwasababu hata ukisikia wachina wanaongea bado hauwashaangai, lakini kupitia weed sku iyo nlkuwa nashangaa jinsi sauti tu kwenye makoromeo zinafanya binadamu wawili waelewane.