Huu Uzi utajaa machalii ya Araa
Na Mimi nakuombea uendelee kujizuia. Halafu mchumba hivi ninavyokwambia nimekumiss hunielewi au unafanya kusudi tu?Naomba nijizuie kuchangia kwenye hii thread...
Na Mimi nakuombea uendelee kujizuia. Halafu mchumba hivi ninavyokwambia nimekumiss hunielewi au unafanya kusudi tu?
Sawa mchumbaMchumba tufanye weekend, muda wa games za EPL.
Maana katikati ya wiki nimeona ni ngumu.
Dont diss it before you taste itJF hatufagilii matumizi ya madawa ya kulevyaa!!
Wanaona haya ya Country boy na mnyamwezi Kaligraph....inanipa makomfidensi mbaayatupieni ngoma mnazopenda kusikiliza mkiwa mnapata dawa mazee
tupieni ngoma mnazopenda kusikiliza mkiwa mnapata dawa mazee