Matapeli wengi wamejificha kwenye dini wanajua huko ndio watu wanaaminiHuyo dogo nimekwambia ni tapeli kila mwisho wa mwezi lazima aende Tanga kuogeshwa dawa, yaan jamaa anaroga ili atapeli watu atajirike ukimuona sasa unaweza usiamini Ila ndio ana makando makando hatari bonge moja la houstadhi Ila daaah Tapeli hafai
We acha tu 🤣🤣🤣Hayo maduka uwe na bajeti kwanza 1m laasivyo unaweza pata kavala simu tu[emoji23]
Sio kweli kuna za Bei za kawaida Ila napo bahati yako ikiwa mbaya unakutana na la kubumba kuna Samsung moja nilinunuaga Mlimani City ilinisumbua sana ilikua inashika sana moto, sikurudia tena kununua simu kuleHayo maduka uwe na bajeti kwanza 1m laasivyo unaweza pata kavala simu tu[emoji23]
Matapeli wengi wamejificha kwenye dini wanajua huko ndio watu wanaamini
😅😅😅Daah kariakoo usiamini mavazi na uongeaji wao wamejiwekea kasumba kuwa mtu lazima uwende tu utake usitake lazima kariakoo ndo ukanunue mizgo na ndo maana wengi wakienda kule kuhama ni ngumu sababu ya hela za janja janja unakuta mtu ana kaflemu kadogo simu amezipanga 10 tu unajiuliza hivi huyu simu hizi 10 ndo zinamfanya alipe kodi ya hapa??!?!
Dogo ana kesi nyingi mno kila siku anahama maduka pale k/koo sababu ya kesi za utapeli yaan akishatapeli anahama pale hata km ukirudi usimkute sasa utampatia wapi?Watamnasa tu ipo siku yake huyo
Sio kweli kuna za Bei za kawaida Ila napo bahati yako ikiwa mbaya unakutana na la kubumba kuna Samsung moja nilinunuaga Mlimani City ilinisumbua sana ilikua inashika sana moto, sikurudia tena kununua simu kule
Hiki Ni kikundi Cha wezi na wanashirikian na weny maduka mzee,Dogo ana kesi nyingi mno kila siku anahama maduka pale k/koo sababu ya kesi za utapeli yaan akishatapeli anahama pale hata km ukirudi usimkute sasa utampatia wapi?
Ni tapeli anakaa golini ukija anakupiga kisha anapotea anahamia kwingine akishatapeli anahamia kwingine hivyo hivyo yeye ni mwendo wa kutapeli tu
Polisi ameshapelekwa saaana Ila utapeli aaachi
Unaeza ishia kuuliza Bei tu, ukasepa 🤣🤣[emoji23] kama huna kwanzia 1m bola utulie nyumbani kitu ambacho huku nje utauziwa 10k huko unauziwa 50k
Tapeli yupo kazini na matapeli Wana umoja sana pale k/koo wanajuana vibaya sana, na wanalindana sana akishatapeli anatafuta hifadhi sehemu nyingine yaan Wana magoli ya kutosha wanayofanyia utapeli ukisikia tu ngoja nikakuchekie duka letu lingine hapo mbele maaan fumbua macho hapo amemaanisha ngoja nikuingize kwenye dunia ya matapeli ukiweza potea kabisa Wala usimsubiri pia kuna mafundi wa simu na laptop wale ndio balaa la dunia ni wezi wa vipuli ogopa ukimpa kifaa chako anang'oa vya ndani anaweka anavyovijua yeyeDaah kariakoo usiamini mavazi na uongeaji wao wamejiwekea kasumba kuwa mtu lazima uwende tu utake usitake lazima kariakoo ndo ukanunue mizgo na ndo maana wengi wakienda kule kuhama ni ngumu sababu ya hela za janja janja unakuta mtu ana kaflemu kadogo simu amezipanga 10 tu unajiuliza hivi huyu simu hizi 10 ndo zinamfanya alipe kodi ya hapa??!?!
Ndio hivyo hata pale Mlimani City ukiingia kichwa kichwa unapigwa vile vile 😂 ile Samsung ilinitesa sana yaan[emoji16][emoji23] sasa unaona yale yale kote maumivu jamaa yangu ana mdogo ake alimuahidi akifaulu O level atamnunulia simu nzuri sasa mwezi wa kwanza mwishoni wakachukuana hadi mlimani pale kuna duka wakaingia kuchukua iphone x plain..
Kwa 600k nao walidanganywa newly sealed yani mdogo ake amekaa nayo siku 3 tu analalakika simu inapata moto vibaya halafu haikai chaji kabisa nikamwambia mzee mlipigwa hiyo si mpya ni refurbished hapa hapa Dsm
Tatzo wamelenga kupata faida kubwaNdio hivyo hata pale Mlimani City ukiingia kichwa kichwa unapigwa vile vile 😂 ile Samsung ilinitesa sana yaan
Unaelewa ulichoandika au hujaelewa nilichoandikaKwanini mtu pesa yake mpaka mtonyo? Nyie ndio matapeli
amazon na other USA store changamoto iko kwenye usafirishaji. Hivyo ni lazima utumie moja ya hizi option.amazon unaagizaje hadi unafika?
Hiki Ni kikundi Cha wezi na wanashirikian na weny maduka mzee,
Mi mwaka 2011 nilimkunja Teja pale mtaa wa aggrey jamaa alifanikiwa kunipig chenji kota ile ya simu kwa kipande Cha sabuni ucku, kesho yake nikamtafut nikampata palepale nikaon kwend polisi mbali nikamuanzishia palepale jamaa waliompa ile cmu ya kuzugia wakaingilia ugomvi....