Themann
JF-Expert Member
- Apr 15, 2022
- 3,844
- 16,094
- Thread starter
- #21
Huwezi kujuana na kila mtu na kila kitu kina stage yake ya manunuzi inapofika muda muafaka. Na mistake kama hizi zipo tu hata ufanyaje lazima ufanye haijalishi kwenye biashara ipi au njia ipi nina uhakika wewe pia unaweza kuwa ushawahi kulizwa. Kama sio wewe basi ndugu yakoTatizo lako mleta mada uliruka stage kwenyebkujifunza namna ya kuishi.
Kwenye maisha unatakiwa ujuane na watu ili upate mambo mazuri.
Unajijua utakuja kijenga nyumba kuwa karibu na mafundi wanaosifika kwa ubora baadae hutapata tabu.
Unajijua utakuja nunua gari jenga mahusiano na watu wenye uzoefu na magari.
Usikubali kufanya kitu kama kipofu hapo hapo kkoo watu wananunua simu kali safi na og kwa mtonyo mzuri tu ww unakwama wapi.
Sikushauri kuwa mjuaji ila jitahidi uongee na watu vizuri.
Mfano mimi nikitaka simu hata leo navuta uzi mmoja tu simu inaletwa mpka kigamboni lakini hii inatokana na kujenga mahusiano mazuri na wauza simu wanaoaminikana kujali kazi zao.
Alafu jambo jingine ukienda kununua kitu chochote kipya au unachokipenda punguza matamanio jiamini chukua muda wako kukichunguza.
Imagine mtu ananunua simu hajaribu hata kupiga ajue iko nzima haweki hata chaji aone inafanyakazi yeye akikabidhiwa ni mwendo hii si sahihi maana maduka mengine garantii ni mgongo wako ukigeuka tu na garantii imekwisha.

na kuna chimbo lingine linaitwa taobao naskia liko vizuri
