Itscharlie
JF-Expert Member
- Apr 15, 2022
- 3,794
- 15,772
Habari za muda wakuu poleni pia hongereni kwa harakati za kulijenga taifa. Okay bila kupoteza muda niende.
Kwenye mada husika
Je ni wangapi, wamewahi pigwa vifaa vya tech ikiwemo simu, Laptops na vinginevyo hapa bongo? Najua ni wengi sana imeshawakuta hii nita-share kidogo. Kilichonikuta huko nyuma maana naona baadhi ya watu bado hawana.
Elimu juu ya hivi vitu na na jinsi ya kupata kitu bora hapa Bongo. 2019 nilipata vijipesa nikasema niende sasa nikanunue simu unajua. Kuna raha yake kufunguwa mzigo ukiwa sealed na magandayae eeeh!?!
Nikaingia K/Koo duka fulani la wapemba. Simu nilio panga kuchukua ni S8+ lakini bahati mbaya sikufanikiwa muuzaji akanishauri nichukue S7edge nikalidhia lakini rangi nilioitaka haikuwepo jamaa akaniamba ngoja nikakuchukulie kwenye duka letu lingine aisee! kumbe hapo ndio nilifanya mistake.
Alivyorudi nikaikagua ile simu ipo fresh. Akaniandikia risiti nikarudi zangu home sasa nafika niichaji ili niitumie.
Huwezi amini simu inapata moto vibaya halafu kwenye notification chini. Inaonyesha mwanga hadi ndani.
Yaani inamaana simu ilishakarabatiwa. Nilivokuja kuiwasha dakika 20 simu imezima uichaji tena daah! Nilijilaumu Sana bora hata ningerudi na pesa yangu tu..
Najua humu humu kuna wauza simu wengi sana watanishambulia kuhusiana na hili ila kiukweli watu wanatafuta pesa kwa tabu mno angalau wapate kitu bora lakini mmekuwa watu wasio na huruma..
Mnadanganya watu simu ni used from Dubai, UK, US, Sijui wapi wapi ila wengi ni waongo simu refurbished hapa hapa bongo nina kesi nyingi sana za watu kupigwa mtu baadhi yenu si waaminifu kwa wateja hivi...
Mfano iphone 6plain ni ya 2014 huko. Lakini mtu anakuja kukwambia ni full box, sealed na iko Non active. Kweli inawezekana vipi muwe wakweli.
Halafu kinachoumiza ni mnauza midosho then kwa bei ya mbaya nimeacha kabisa kununua simu K/Koo
Sijui makumbusho maeneo ni balaaa. Sisemi hakuna maduka yanayo uza vitu genuine kabisa hapana wapo ila ni wachache walio waaminifu ushauri wangu ni kama umepata pesa usikimbilie kwenda kununua vitu hivi
Tuliza kichwa fanya research duka gani lina utapata bidhaa original Lakini sio kariakoo.
Usisite kuweka maoni au ku-share jambo lililowahi kukuta kama hili. Ili na wengine iwasaidie unaweza kuokoa hela ya mtu siku ya leo.
Kwenye mada husika
Je ni wangapi, wamewahi pigwa vifaa vya tech ikiwemo simu, Laptops na vinginevyo hapa bongo? Najua ni wengi sana imeshawakuta hii nita-share kidogo. Kilichonikuta huko nyuma maana naona baadhi ya watu bado hawana.
Elimu juu ya hivi vitu na na jinsi ya kupata kitu bora hapa Bongo. 2019 nilipata vijipesa nikasema niende sasa nikanunue simu unajua. Kuna raha yake kufunguwa mzigo ukiwa sealed na magandayae eeeh!?!
Nikaingia K/Koo duka fulani la wapemba. Simu nilio panga kuchukua ni S8+ lakini bahati mbaya sikufanikiwa muuzaji akanishauri nichukue S7edge nikalidhia lakini rangi nilioitaka haikuwepo jamaa akaniamba ngoja nikakuchukulie kwenye duka letu lingine aisee! kumbe hapo ndio nilifanya mistake.
Alivyorudi nikaikagua ile simu ipo fresh. Akaniandikia risiti nikarudi zangu home sasa nafika niichaji ili niitumie.
Huwezi amini simu inapata moto vibaya halafu kwenye notification chini. Inaonyesha mwanga hadi ndani.
Yaani inamaana simu ilishakarabatiwa. Nilivokuja kuiwasha dakika 20 simu imezima uichaji tena daah! Nilijilaumu Sana bora hata ningerudi na pesa yangu tu..
Najua humu humu kuna wauza simu wengi sana watanishambulia kuhusiana na hili ila kiukweli watu wanatafuta pesa kwa tabu mno angalau wapate kitu bora lakini mmekuwa watu wasio na huruma..
Mnadanganya watu simu ni used from Dubai, UK, US, Sijui wapi wapi ila wengi ni waongo simu refurbished hapa hapa bongo nina kesi nyingi sana za watu kupigwa mtu baadhi yenu si waaminifu kwa wateja hivi...
Mfano iphone 6plain ni ya 2014 huko. Lakini mtu anakuja kukwambia ni full box, sealed na iko Non active. Kweli inawezekana vipi muwe wakweli.
Halafu kinachoumiza ni mnauza midosho then kwa bei ya mbaya nimeacha kabisa kununua simu K/Koo
Sijui makumbusho maeneo ni balaaa. Sisemi hakuna maduka yanayo uza vitu genuine kabisa hapana wapo ila ni wachache walio waaminifu ushauri wangu ni kama umepata pesa usikimbilie kwenda kununua vitu hivi
Tuliza kichwa fanya research duka gani lina utapata bidhaa original Lakini sio kariakoo.
Usisite kuweka maoni au ku-share jambo lililowahi kukuta kama hili. Ili na wengine iwasaidie unaweza kuokoa hela ya mtu siku ya leo.