muongo mkubwa, angalia hiyo picha katibu mkuu na naibu waziri walishaondolewa. Bajeti ya wizara hiyo ilipitishwa juzi na hakuna aliyevaa sare
Kuna sababu gani ya kupeleka watu wote hao Bungeni? Au ndiyo katika maswala ya posho. Enzi hizo na mimi nilifanya kazi serikalini lakini sikuwa naona utitiri wa wafanyakazi wakielekea Bungeni. Kulikoni?
Hapo wa +ke kitamba 300000,ufundi 200000 mafuta yakumfuatilia fundi 100000 jumla 600000 tupo 1,2,3,4............ +10%
+me kitambaa 350000,ufundi 250000 vocha ya kumpigia fundi 150000 jumla 750000 hapo tupo ........wengine wamebaki ndani.hahahaha hii ndio Tanzania nchi ya asali na maziwa wewe tu ndio unashangaa.
Wewe si mbishi nenda katafute Proforma zilizofika ofisini.Hicho kitambaa cha bei hiyo kimetokea mbinguni? Na huyo fundi wa bei hiyo labda cherehani yake inatumia mafuta ya ndege?
Watu mna chuku sana!!