Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,817
- 4,566
Habari ndugu zangu,
Katika pitapita zangu mitandaoni nimekutana na tangazo la kibabe lenye ujumbe unaowataarifu Watumishi fulani kuhusu Mkutano wa Hadhara utakaofanywa na Katibu Mkuu wa CCM Dodoma.
Maajabu ni kwamba tangazo hilo limewataka Watumishi wahudhurie wakiwa na sare iliyoandikwa Dodoma Fahari ya Watanzania na wazinunue sare hizo kwa pesa zao wenyewe.
Tangazo limekaa kimamlaka sana.
Je, kuna kitu Watumishi wanapata tokea mikutano hii mpaka walazimike kujinunulia sare?
Jionee tangazo hili hapo chini:
Katika pitapita zangu mitandaoni nimekutana na tangazo la kibabe lenye ujumbe unaowataarifu Watumishi fulani kuhusu Mkutano wa Hadhara utakaofanywa na Katibu Mkuu wa CCM Dodoma.
Maajabu ni kwamba tangazo hilo limewataka Watumishi wahudhurie wakiwa na sare iliyoandikwa Dodoma Fahari ya Watanzania na wazinunue sare hizo kwa pesa zao wenyewe.
Tangazo limekaa kimamlaka sana.
Je, kuna kitu Watumishi wanapata tokea mikutano hii mpaka walazimike kujinunulia sare?
Jionee tangazo hili hapo chini: