Watumishi wa UMMA tujiandae kuumia tena kwa miaka 5

Bro kumnunilia mtoto nguo mpya aiondoi "his right and your obligation kumpa chakula"

Mwambie mwenyekiti wenu aache "uzurumishi "
1. Anipe maadaraja yangu mawili.
Nilitakiwa niwe E ila tokea yeye aingie bado nipo palepale TGS C.
Yaani alinidanganya kunipa TGS C2 ili anipoze.
Mungu HAPENDI UZULISHI.

2. Mwambie anipe increament zangu za kila mwaka ambazo zipo kisheria.
Namdai haki yangu ambavyo ipo KISHERIA ya NYONGEZA YA MIAKA MITANO.
mwambie "No one is above the law"

3. Mwambie anilipe arraers zangu.

Kama kanidhulumu pesa ngoja mimi mimdhulumu muda.

JINO KWA JINO.

#YNWA
pole sana mwamba
 
How is this possible?

KWELI CCM nomaaa..

Pole sanaa broo
😭😭😭😭

#YNWA
 
Acha Kazi

Na haya ndiyo majibu ya Watanzania! Anakujibu acha kazi ana sahau kama mtumishi ana haki na sheria inayomlinda! Badala ya kusimama na mtumishi kuona ni namna gani hizo haki na sheria zinalindwa!

Watanzania hatupendani!

Badala ya kujadili katika kutafuta solution ya kumsaidia mtumishi, tunatoa majibu hovyo hovyo!!

Huyu unaweza kuta ndiyo mjomba wako anayekulipia ada na upo nyumbani umesimamishwa masomo!
 
Na haya ndiyo majibu ya Watanzania! Anakujibu acha kazi ana sahau kama mtumishi ana haki na sheria inayomlinda! Badala ya kusimama na mtumishi kuona ni namna gani hizo haki na sheria zinalindwa!

Watanzania hatupendani!

Badala ya kujadili katika kutafuta solution ya kumsaidia mtumishi, tunatoa majibu hovyo hovyo!!

Huyu unaweza kuta ndiyo mjomba wako anayekulipia ada na upo nyumbani umesimamishwa masomo!
Nan akupende wakat ww mwenyew hujipendi?

Relax. Fata taratibu pale unapoona Haki zako hazifatwi ndio maana Kuna Labor Law na Ile ya Code of G Conduct na zingine nyingi, umejaribu kuzisoma?

Umechukua hatua Gani?

Pili, mkuu kasema ataongeza Mishahara, tulia
 
Tutajuta kuzaliwa Tanzania. Halafu akina Ndugai wanabadili katiba 2024 ili Jiwe aendelee baada ya 2025! Mashujaa wale waliomtoa Karume madarakani 1972 sijui walikwenda wapi?
Kweli tutajuta Mkuu. Ukiona kiongozi yoyote anafanya mipango ya kutaka aongezwe muda was Kutawala dhidi ya Katiba ya Nchi in mwanzo was Kiongozi Hugo kuwa Dikteta.

Ndivyo wote walivyoanza
 
Hujasema kama:
1. yule yule aliyekomesha Rushwa ns Ucheleweshaji wa kesi Mahakamani.
2. Ni yule yule anayesomesha bure watanzania kutoka darasa LA kwanza hadi kidato cha NNE
3. Ni yule yule aliyekarabati shule Kongwe ambazo ukifika utadhania ni vyuo vikuu
4. Ni yule yule aliyekomesha mgao wa umeme
5. Ni yule yule aliyeboresha sekta ya afya kwa kujenga Hospitali, zahanati mpya na kuongeza vifaa
6. Ni yule yule anayejenga SGR na Stiglers Gorge
7. Ni yule yule aliyepitia mikataba ya madini na sasa nchi inanufaika na madini yetu
8. Ni yule yule aliyedhibiti biashara haramu za pembe za ndovu na dawa za kulevya
9. Ni yule yule jembe LA afrika ambaye Mabeberu wasikiapo jina lake wsnatetemeka
Acha ubinafsi, Watumishi wa umma ni laki tano tu kati ya watanzania mil 50, Wapo wakulima, wafugaji, wafanyaboashara, wavuvi n.k, wote wanamwangalia Mheshimiwa Rais.
Hakuna jipya chini ya jua. Rushwa iko pale pale. Upigaji uko pale pale, utamulikwa ikiwa yeye hajahusishwa. Mashuleni watu wanalipa kama kawaida, kwani elimu bora ina gharama zake. Ujenzi mkubwa kwa sasa unawanyonya wananchi, wanaolipa kodi kila uchwao na wasiopewa haki ya kuchagua wamtakaye, kupata habari na kutoa maoni yao katika nchi huru ya Tz., ukizingatia teknolojia inaruhusu.
 
Back
Top Bottom