Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,193
- 12,378
pole sana mwambaBro kumnunilia mtoto nguo mpya aiondoi "his right and your obligation kumpa chakula"
Mwambie mwenyekiti wenu aache "uzurumishi "
1. Anipe maadaraja yangu mawili.
Nilitakiwa niwe E ila tokea yeye aingie bado nipo palepale TGS C.
Yaani alinidanganya kunipa TGS C2 ili anipoze.
Mungu HAPENDI UZULISHI.
2. Mwambie anipe increament zangu za kila mwaka ambazo zipo kisheria.
Namdai haki yangu ambavyo ipo KISHERIA ya NYONGEZA YA MIAKA MITANO.
mwambie "No one is above the law"
3. Mwambie anilipe arraers zangu.
Kama kanidhulumu pesa ngoja mimi mimdhulumu muda.
JINO KWA JINO.
#YNWA