Ntemii
JF-Expert Member
- May 25, 2022
- 290
- 525
Wakuu habari
Naona dhamira ya kuzuia uhamisho wa watumishi wa umma kwa serikali ya awamu ya sita imejidhihirisha rasmi kupitia mfumo wa utumishi portal.
Kwa sasa vikwazo ni vingi zaidi hata kipindi cha paper work.
Nimejaribu kuomba nafasi zaidi ya halmashauri 10 tena ambazo na uhakika zina uhitaji wa watumishi wa kada yangu jama sehemu ya uchunguzi wangu binafsi, cha ajabu na kushangaza mfumo unagoma ku submit ombi ukidai halmashauri husika haina nafasi kwaajili ya uhamisho huo.
Inasikitisha sana,watumishi wanateseka sana kisa huu mfumo,utumishi sikilizieni kilio cha watumishi,mnaonekana kikwazo na kero kwa watumishi na kujenga chuki baina ya watumishi na serikali yao.
Naona dhamira ya kuzuia uhamisho wa watumishi wa umma kwa serikali ya awamu ya sita imejidhihirisha rasmi kupitia mfumo wa utumishi portal.
Kwa sasa vikwazo ni vingi zaidi hata kipindi cha paper work.
Nimejaribu kuomba nafasi zaidi ya halmashauri 10 tena ambazo na uhakika zina uhitaji wa watumishi wa kada yangu jama sehemu ya uchunguzi wangu binafsi, cha ajabu na kushangaza mfumo unagoma ku submit ombi ukidai halmashauri husika haina nafasi kwaajili ya uhamisho huo.
Inasikitisha sana,watumishi wanateseka sana kisa huu mfumo,utumishi sikilizieni kilio cha watumishi,mnaonekana kikwazo na kero kwa watumishi na kujenga chuki baina ya watumishi na serikali yao.